WanaJF, tafadhali mnisaidie.
Mimi ninataka kuchimba kijijini fulani, kwa hiyo niliwaomba "DRILLING AND DAM CONSTRUCTION AGENCY" wanipatie makadirio.
Basi waliandika "The estimated cost has to be paid to drilling and dam construction Agency in advance and thereafter the project implementation may start immediately."
Je, kulipa kabla ya mwanzo ya kazi ni halali? Mimi nitakuwa na dhamana gani?
Asanteni sana,
Nino
Mimi ninataka kuchimba kijijini fulani, kwa hiyo niliwaomba "DRILLING AND DAM CONSTRUCTION AGENCY" wanipatie makadirio.
Basi waliandika "The estimated cost has to be paid to drilling and dam construction Agency in advance and thereafter the project implementation may start immediately."
Je, kulipa kabla ya mwanzo ya kazi ni halali? Mimi nitakuwa na dhamana gani?
Asanteni sana,
Nino