kamandamakini
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 165
- 137
Malima Leo katika magazeti amesema ,Msigwa Sugu na Silinde hawana sifa za kuwa viongozi, huyu ni malima anayetembea na silaha za kivita,akiwa kwenye mahoteli na Malaya ,jimbo lake la mkuranga umasikini na ujinga Ndio kwao,huyu bwana anayebebwa na jina la baba yake anakipi cha kuwakosoa wa bunge wachadema wa nyandaz za juu kusini..........nawasilisha