Malima Hana sifa ya kuwakosoa MSIGWA, SUGU, NA SILINDE

kamandamakini

Senior Member
Feb 17, 2012
165
137
Malima Leo katika magazeti amesema ,Msigwa Sugu na Silinde hawana sifa za kuwa viongozi, huyu ni malima anayetembea na silaha za kivita,akiwa kwenye mahoteli na Malaya ,jimbo lake la mkuranga umasikini na ujinga Ndio kwao,huyu bwana anayebebwa na jina la baba yake anakipi cha kuwakosoa wa bunge wachadema wa nyandaz za juu kusini..........nawasilisha
 
Malima Leo katika magazeti amesema ,Msigwa Sugu na Silinde hawana sifa za kuwa viongozi, huyu ni malima anayetembea na silaha za kivita,akiwa kwenye mahoteli na Malaya ,jimbo lake la mkuranga umasikini na ujinga Ndio kwao,huyu bwana anayebebwa na jina la baba yake anakipi cha kuwakosoa wa bunge wachadema wa nyandaz za juu kusini..........nawasilisha
Mkuranga nijimbo ambalo watu wake wamelala usingizi wa hajabu,na katika maajabu 7 yanayo pigiwa kura na ili lingeongezwa likawa la 8.na mpaka waje kuamka bilashaka tutakuwa kwenye kalne ya 35.
 
Malima ni kivuli cha mtu, anatembea na begi tatu za nguo toka mkuranga kwenda Morogoro, huku akiwa na SMG na bastola mbili. Hivi ana akili zinamtosha huyu? Malaya kuliko boss wake, nchi hii ingekuwa China, Adamu malima ingekuwa historia
 
Malima Leo katika magazeti amesema ,Msigwa Sugu na Silinde hawana sifa za kuwa viongozi, huyu ni malima anayetembea na silaha za kivita,akiwa kwenye mahoteli na Malaya ,jimbo lake la mkuranga umasikini na ujinga Ndio kwao,huyu bwana anayebebwa na jina la baba yake anakipi cha kuwakosoa wa bunge wachadema wa nyandaz za juu kusini..........nawasilisha

Alimaanisha kuwa viongozi wa CCM........and he is right about this you know
 
Mkuranga kwenye alipita kwa mazingira ya rushwa akae kimya,yeye lipi jema alofanya zaidi ya kutembea na silaha!labda ajaribu mmojawapo kati ya hao watu akafanye mkutano wa hadhara jimbo kwake kama hajakimbia.
 
Kweli mtu anayetembea na silaha za kivita kama mgambo wa Taliban hana sifa za kuwa kiongozi.Anavyodai CCM ilifanya makosa Iringa mjini alitaka mtu aliyekamatwa na TAKUKURU kwa rushwa (Mwakalebela) ndiye agombee?Namuonya asirudie kumkejeli SUGU hata siku moja,MBEYA NI NCHI SUGU NI RAIS,hata Kandoro anajua!
 
Malima Leo katika magazeti amesema ,Msigwa Sugu na Silinde hawana sifa za kuwa viongozi, huyu ni malima anayetembea na silaha za kivita,akiwa kwenye mahoteli na Malaya ,jimbo lake la mkuranga umasikini na ujinga Ndio kwao,huyu bwana anayebebwa na jina la baba yake anakipi cha kuwakosoa wa bunge wachadema wa nyandaz za juu kusini..........nawasilisha

Some times waache wabunge wajibu wenyewe especially kama kuna facts kama unavyo zitoa wakishindwa waombe msaada au ni dhaifu kiasi cha kulindwa na kusaidiwa muda wote?
 
Malima ni mzinzi aliibiwa na changudoa hotelini morogoro.Aibu sana kwa nchi za wenzetu alitakiwa awe amepigwa chini.
 
Katika siasa watu hufanya kazi moja kubwa, nayo ni kujijengea uhalali wa uwepo wao na uharamu wa uwepo wa maadui zao. Shafi Adam Shafi
 
Some times waache wabunge wajibu wenyewe especially kama kuna facts kama unavyo zitoa wakishindwa waombe msaada au ni dhaifu kiasi cha kulindwa na kusaidiwa muda wote?

...hawa ni wabunge wa watu hivyo ukiwagusa hao wabunge wetu kwa vyovyote vile umetugusa...
 
Malima Leo katika magazeti amesema ,Msigwa Sugu na Silinde hawana sifa za kuwa viongozi, huyu ni malima anayetembea na silaha za kivita,akiwa kwenye mahoteli na Malaya ,jimbo lake la mkuranga umasikini na ujinga Ndio kwao,huyu bwana anayebebwa na jina la baba yake anakipi cha kuwakosoa wa bunge wachadema wa nyandaz za juu kusini..........nawasilisha
Mkuu kamandamakini Iringa hawajambo? Mguu ulipona? Piga kazi kaka 2015 haipo mbali Jesca ndo huyooooooo anakuja kwa kasi
 
Last edited by a moderator:
huyu ni mtoto wa kighoma Malima yule aliyekutwa na mamilioni ya hela/pesa enzi hizo ni waziri wa fedha??!!
 
Huyu Malima alitakiwa kufukuzwa kazi kwa kosa la kuchukua Malaya na huku anadhamana kubwa Serikalini. Na alimwaibisha sana Mke wake.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom