VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Waziri Mkuu Mstaafu na Makamu Mwenyekiti Msataafu wa CCM, John Samwel Malecela maarufu kama 'Tingatinga',ametafsiriwa na wachambuzi wa mambo kama mtu asiyemuunga mkono mgombea wa CCM katika Jimbo la Arumeru Mashariki,Siyoi Sumari.
Malecela amejiweka mbali na kampeni zinazoendelea za chama chake.Malecela alipofuatwa ili aongozane na 'Uncle Benny' aka 'Mjuzi wa ukoo' aliruka kimanga kuelekea huko akionyesha dhahiri kutoridhishwa kwake na mchakato mzima wa kumpata Siyoi. Malecela amesoma alama za nyota?
Malecela amejiweka mbali na kampeni zinazoendelea za chama chake.Malecela alipofuatwa ili aongozane na 'Uncle Benny' aka 'Mjuzi wa ukoo' aliruka kimanga kuelekea huko akionyesha dhahiri kutoridhishwa kwake na mchakato mzima wa kumpata Siyoi. Malecela amesoma alama za nyota?