Malecela: Rais asipunguziwe madaraka, Tanzania ni nchi changa!

Chigwiyemisi

JF-Expert Member
Jun 22, 2011
531
225
Waziri mkuu mstaafu Mh. John Samwel Malechela amesema hakuna haja kwa rais kupunguziwa madaraka kwa sasa kwa sababu nchi yetu bado changa. Ameyasema hayo wakati akitoa maoni yake kwa tume ya marekebisho ya katiba. Kwa jinsi nionavyo maCCM hayataki kabisa madaraka ya rais yapunguzwe.

Source: ITV
 
Waziri mkuu mstaafu Mh. John Malecela amesema nchi hii bado ni changa hivyo mamlaka ya Rais yasipunguzwe, aliyasema hayo leo wakati akichangia maoni yake kwenye tume ya kukusanya maoni ya katiba ambapo leo ilikuwa zamu ya viongozi wastaafu kutoa maoni yao.

My take: Hivi kweli miaka 50 ya uhuru nchi hii bado ni changa?
 
Waziri mkuu mstaafu Mh. John Malecela amesema nchi hii bado ni changa hivyo mamlaka ya Rais yasipunguzwe, aliyasema hayo leo wakati akichangia maoni yake kwenye tume ya kukusanya maoni ya katiba ambapo leo ilikuwa zamu ya viongozi wastaafu kutoa maoni yao.

My take: Hivi kweli miaka 50 ya uhuru nchi hii bado ni changa?[/QUO
MZEE MALECELA,hayo ni mawazo mgando!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Waziri mkuu mstaafu Mh. John Samwel Malechela amesema hakuna haja kwa rais kupunguziwa madaraka kwa sasa kwa sababu nchi yetu bado changa. Ameyasema hayo wakati akitoa maoni yake kwa tume ya marekebisho ya katiba. Kwa jinsi nionavyo maCCM hayataki kabisa madaraka ya rais yapunguzwe.

Source: ITV
asemayo malecela ni kweli kwani rais ni alama pekee ya umoja wetu
 
1.Nchi yetu ni changa kwa kuwa hatuna nini.
2.Tulipaswa kuwa na nini/kuweje ili tuwe tumepevuka?
3.Dr.Malecela,Dr Kikwete, Dr mkapa, Dr Mangula, Dr Kinana, wanajua kwa nini hatujapevuka?
4. Its been 50 years since we became a nation for God sake!
 
Kwahiyo kama nchi ni changa rais wetu ndo arundikiwe mavyeo kama mfalme juha?
Yaan Rais awe Jaji, awe Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi!!!!!????? Malecela naye kama mwanae
yeah tatizo unamwangalia rais kam ccm lakin mtazame hata akiwa wa chama kingine atawezaje kutekeleza mambo yake kwa kumpunguzia madaraka kwa nchi changa kama yetu?
 
Waziri mkuu mstaafu Mh. John Samwel Malechela amesema hakuna haja kwa rais kupunguziwa madaraka kwa sasa kwa sababu nchi yetu bado changa. Ameyasema hayo wakati akitoa maoni yake kwa tume ya marekebisho ya katiba. Kwa jinsi nionavyo maCCM hayataki kabisa madaraka ya rais yapunguzwe.

Source: ITV

Huyu naye ana lake jambo!! Tangu wamepewa madaraka full kwa miaka 51 ya uhuru wamefanya kitu gani!!? Apunguziwe kabisa ili apate kuwajibika pale inapobidi!! Yaani hata kama kuna rais ambaye dira na dhima yake ni ya kudanganya naye andelee kuwa na madaraka ya kutupeleka tusikojua?
 
Hii familia yote yaani BABA, MAMA na MTOTO ina tatizo la mtindio wa ubongo. Wanahitaji msaada wa matibabu haraka sana.
mkuu usiwabeze kwa kuwa hawapo upande wako hv rais wa upinzan mnaemtaka akiingia na hana mamlaka itakuwaje?? atatekeleza vp mageuzi au mtabadili katiba tena?
 
Now I know why his son is so bogus......from now on onwards I will never ever argue or reply to anything willy will write.....
 
Mzee Malecela akili imedumaa nchi ina miaka 52 baada ya uhuru wewe unatuambia nchi changa....
 
usijibeze mkuu rais ni alama ya umoja wetu mi ningeona aomgezewe zaidi ya haya

Aongezewe kwani yeye ni mungu mtu? Mkitaka kumuongezea sawa tu, muongezeeni lakini kamwe sisi kama Miafrika hatutakuja kuendelea. Narudia, kamwe sisi kama Miafrika hatutakuja kuendelea kwa lolote lile.
 
Aongezewe kwani yeye ni mungu mtu? Mkitaka kumuongezea sawa tu, muongezeeni lakini kamwe sisi kama Miafrika hatutakuja kuendelea. Narudia, kamwe sisi kama Miafrika hatutakuja kuendelea kwa lolote lile.
usiudharau utu wako miafrika maana yake nini
 
Back
Top Bottom