Malawi stops talks with Tanzania on Lake Nyasa/Malawi Dispute

Kwanza NNa Hasira nao Mlinzi wangu (mnyasa) ameniibia my watches na dola 400 afu amekimbia.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Tanzania should know that it is playing with fire. Uganda smashed them as dogs. We will smash them as rats!! Watch out Tanzania!!
Huyu mbwa hata historia haijui....hawa dawa yao ni kuwapa kile wanacho kitaka tuuu
Kwa meseji hiii yule mlinzi na mkewe leo hiii hiii wanafunga vilago vyao na kuliacha boma langu lilitwe na ndugu zangu
 
jamani kwa hili la ziwa nyasa ni vizuri wa tanzania tukawa kitu kimoja,tukiliacha hilo ziwa lichukuliwe na malawi,ipo siku kenya watasema ziwa victoria nilao lote,na kadhalika,tuwe womoja kwenye mali zetu.
 
Tanzania should know that it is playing with fire. Uganda smashed them as dogs. We will smash them as rats!! Watch out Tanzania!!
Huyu mbwa hata historia haijui....hawa dawa yao ni kuwapa kile wanacho kitaka tuuu
Kwa meseji hiii yule mlinzi na mkewe leo hiii hiii wanafunga vilago vyao na kuliacha boma langu lilitwe na ndugu zangu

yaani nimecheka. Hajui Amini tulimkimbiza na hakuwahi kuiona Uganda akuwa hai tena? Seriously, hawa wanata kumkaribisha mmarekani kwao. Ila vijembe vyao vinanikumbusha vikembe vya jf, hakuna jipya. Watuletee mahausigeli na walinzi sie
 
Hivi kwanini tusiwatimue wanyasa wote wanaokaa kinyume cha sheria?
 
Hatujawahi kuwa serious kwa mambo mengi watanzania na hasa baada ya JK kuingia madarakani. Hata ktk hili tulikurupushwa tu
Upeo mdogo wa kufikiri,kama huna cha kuchangia kuhusu nchi yako baki kuwa msomaji wa thread sio unataja taja jina la JK tu.

 
Hata mimi nimemsikia, nadhani ni wale viongozi wa jeshi letu waliozoea kufikiri kwa kutumia masaburi.

Tanzania tunadai mpaka uko katikati ya ziwa na Malawi wanadai mpaka uko kwenye pwani ya ufukwe ya ziwa nyasa upande wa Tanzania, sasa kila mmoja akitumia nguvu kulinda mpaka wake hapo si ni kuanzisha VITA.
.........afisa yupo sahihi kwamba sisi tunalinda mipaka yetu, maana wao wanaonekana washari basi walinde hiyo ya kwao ambayo iko kwenye ufukwe wa ziwa Nyasa, hawataki mazungumzo, basi walinde mipaka yao,, BRAVO AFISA JESHI, haya ndio maneno ambayo baba wa taifa alipenda watu wayasikie.
 
Kwa kuwa nchi yetu nzuri(Tanzania) huwa ina budget ya jeshi na ununuzi Wa silaha. Sio vibaya sana Kama ikionekana sasa budget ya jeshi kufanya kazi yake Mara moja.

Mama akileta umaku wake, inatakiwa kichapo kianze fasta alafu Kama na vipi tuongeze Malawi kuwa katika mikoa ya Tanzania
 
When in my military training, we had this slogan
"failing is indiscipline" "second to none"
We either win or they lose"

This is our slogan
 
Usiombe Hilo litokee tutachapwa na mwanamke, wenzetu Wana support ya us na uk, uchumi wao una waruhusu wakati tz Hazina yetu haina ata pee matrip ya viongozi na ufisadi wote unaingia kwenye deni la taifa, wanajeshi wetu wote vitambi na silaha zime expire mpaka zinatulipua wenyewe wenzetu Malawi Wana guarantee ya kupewa non pilot chopper na western tutaleta aibu na hasara kubwa kwenye taifa hili la ki sultan.

Acha mzaha katika mambo ya maana.Hiyo guarantee umeiona au ulioteshwa?Malawi haina bandari,silaha watapitisha wapi?Msumbiji au Afrika kusini?ukipata jibu tu mwambie Joyce aanzishe vita
 
nia, uwezo na sababu tunavyo, why cant we try to measure our army strength bwana, mimi mzanaki huwa hatunaga kulemba, tema nkuteme...halafu huyo mama na jeshi lake wanakuwa manzi ga nyanza.
isomeke hivii malawi yasitisha mazungumzo na tanganyika
 
Huyu mama ni mkorofi, lakini ni bora kwenda UN
Cartoon-MW-vs-TZ.jpg KWA MUJIBU WAPICHA: maza Hamuamini JK maana yeye alikuja na bible huku watu wake wakiwa kanisani wana omba kwa mashaka,wakati JK alikwenda na sura mbili kulia ni mjeshi kaficha mtutu kwa nyuma,huku majeshi yake yakiwa majanini na mitutu tayari kulianzisha na kushoto anampa mkono wa ki raia,mama kaliweka moyoni.sasa naona kaamua kulipua.LIWALO NA LIWE.
 
Acha mzaha katika mambo ya maana.Hiyo guarantee umeiona au ulioteshwa?Malawi haina bandari,silaha watapitisha wapi?Msumbiji au Afrika kusini?ukipata jibu tu mwambie Joyce aanzishe vita

Malawi ni nchi huru unamamlaka ya kuingiza na kuingiza silaha kupitia nchi yeyote jirani iwe anga, bandari na barabara Hata hapa tz wanaweza kupitishia silaha zao sio mpaka SA au unadhani silaha huagizwa kabla ya Kutangaza vita au baada ya Kutangaza vita?? JIULIZE ilo swali alafu unamwambie JK watz Hatutaki aibu wala dhulumati.
 
Lengo la mazungumzo ni kufikia muafaka wa tatizo hili. Kwa bahati mbaya mno Malawi hawako tayari kukubali kuwa Tanzania ina chake katika ziwa Nyasa a.k.a ziwa Malawi; wakati huo huo Tanzania hatuko tayari kulazimishwa tukubali eti ziwa lote ni mali ya Malawi. Kwa hali hii, mimi nadhani maamuzi ya Banda kwenda mahakamani yako sahihi badala ya kuendelea na vikao vinavyotumia fedha kibao za walipa kodi bila tija yoyote. Kwa vile Malawi ndiye anayeishitaki Tanzania, anapaswa kuthibitisha uhalali wa madai yake huku Tanzania tukitakiwa ku-raise doubts tu dhidi ya ushahidi wao, kwamba ziwa hilo sio lao peke yao.

Hakuna haja ya kutishiana mtutu wa bunduki kwa sasa, lakini ikibidi vita itakuwa ndiyo suluhisho la mwisho. Eti Malawi wako na ushirika na Marekani na Uingereza hilo lisitutishe, overall maadui wa nchi hizo 2 ni wengi zaidi hapa duniani kuliko marafiki zao. Endapo Tanzania na Malawi zitaingia vitani halafu Marekani na Uingereza waingize timu bila shaka hiyo itakuwa ni vita kuu ya Tatu ya dunia. Mrusi na Mchina watakuwa upande wetu pamoja na jopo lote la nchi za kiarabu zilizochoshwa na ukiranja wa Marekani na Uingereza kwa muda mrefu. Sisi kama Watanzania tuwe kitu kimoja kulinda mipaka ya nchi yetu bila kuogopa nchi yoyote, hii ndiyo maana halisi ya nchi kuwa huru.
 
Upeo mdogo wa kufikiri,kama huna cha kuchangia kuhusu nchi yako baki kuwa msomaji wa thread sio unataja taja jina la JK tu.



Ana uhuru wa kuwakilisha hisia zake so please heshimu mawazo ya mwenzako usijione Kama wewe ndio una point sana.
 
View attachment 67045 KWA MUJIBU WAPICHA: maza Hamuamini JK maana yeye alikuja na bible huku watu wake wakiwa kanisani wana omba kwa mashaka,wakati JK alikwenda na sura mbili kulia ni mjeshi kaficha mtutu kwa nyuma,huku majeshi yake yakiwa majanini na mitutu tayari kulianzisha na kushoto anampa mkono wa ki raia,mama kaliweka moyoni.sasa naona kaamua kulipua.LIWALO NA LIWE.

Mkuu nimefurahia sana comments zako katika hiyo picha. Umesahau kitu kidogo tu kwamba wote wako majini (scene of crime) (ndani ya ziwa Nyasa/Malawi) kila mtu upande wake. Kwa hakika mama anavyoonekana kaliweka moyoni haswaa! Sasa kaamua 'kufunguka'.
 
Back
Top Bottom