mlaizer
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 233
- 41
unaweza kufafanua hapo kwenye RED?
My Take:
Kuna kitu ambacho kinaendelea na Malawi inaonekana wanajipanga vizuri zaidi. Ina maana TZ itabidi iwabembeleze.
Miye nilitoa ushauri wangu; Tanzania ianze utafiti upande wake wa Ziwa Nyasa tuone Malawi itafanya nini? Na kwenda ICA hatuendi.