Malawi Continues Lake Oil Exploration, Tanzania Denies Military Deployment

Nimecopy hicho kipengele hapo toka kwenye attachment yako ya MALAWI1.pdf

Maelezo ya Chiume ni sawa lakini haikuwa mwaka 1956. Inasemekana ni mwaka 1898 siyo wakati wa kujuisha Malawi kwenye Rhodesian Federation ila ni wakati wa kuweka kuhakiki mpaka unaotenganisha Malawi, Zambia na Tanzania
"The present alignment of the boundary between the lakes was not determined in detail until decisions were reached by a joint boundary commission in 1898 and an agreement was signed by the United Kingdom and Germany in 1901."

Kama vipi google "ibs037.pdf" usi-iclude hizo inverted commas

naona chiume alikuwa anamtumainisha mwalimu ili amuunge kwenye upinzani wake dhidi ya banda
 
Mgogoro kama huu ulitokea huko Caspian sea kati ya Iran na Azerbaijan mwaka 2001

Angalia kwenye link hiyo hapo chini jinsi Mwingereza anavyoshirikiana na Mmarekani kwenye mambo ya mafuta. Kama ilivyo Malawi kampuni ya utafiti inatoka Uingereza ila masuala ya usalama yamesimamiwa na Mmarekani. Dah! Tanzania inabidi tuombe msaada China au Urusi mapemaaaa

Nimeipenda ya Iran kuweka gunboat na kusema haitambui hiyo mikataba iliyoingiwa na Azerbaijan na hata kuifukuza BP kufanya kufanya utafiti

Iran raises the stakes in Caspian dash for oil - Telegraph

hicho ndo kinafanyika kati ya bongo na malawi.Mwingereza na mmarekani wameona maslah hapo thus why wanataka kugombanisha pande mbili ili wajichukulie mafuta THE CONCEPT OF DEVIDE AND RULE
 
Back
Top Bottom