Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Imefika mahali rais wetu MWANAMUME anatishiwa na kupigwa mkwara na rais MWANAMKE,
Kwa suala hili nasononeka na kujiuliza kwanini Mungu alimchukua Nyerere na kutuachia mazagazaga? angalia jinsi Nyerere alivyokuwa sio mnafiki kwenye suala la Lake Nyasa.....
"Records show that Tanzania's president Julius Nyerere said that he did not care if the name was Lake Nyasa, Malawi, Banda or Kamuzu, but borders were not negotiable."