Makutano Show
Member
- Aug 3, 2012
- 21
- 65
Wana-JF
Wiki chache zilizopita nilipata udhuru sikuweza kuendesha kipindi na kukusanya maswali toka hapa JF, na sasa nimerejea.
Katika Makutano Jumamosi hii natarajia kuwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mheshimiwa January Makamba tukijadili maisha yake ya kawaida na yale ya kisiasa. Ningependa kupata maswali toka kwenu ambayo atayajibu moja kwa moja katika kipindi.
Kipindi kinaanza saa tisa mchana hadi kumi na mbili jioni kupitia Magic FM kupitia Magic FM 92.9 Dar, 93.3 Dodoma, 98.6 Arusha/Moshi,101.7Mwanza na pia kupitia ustream MakutanoShow on USTREAM: Makutano na Fina Mango. Radio
Karibu
Wiki chache zilizopita nilipata udhuru sikuweza kuendesha kipindi na kukusanya maswali toka hapa JF, na sasa nimerejea.
Katika Makutano Jumamosi hii natarajia kuwa na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mheshimiwa January Makamba tukijadili maisha yake ya kawaida na yale ya kisiasa. Ningependa kupata maswali toka kwenu ambayo atayajibu moja kwa moja katika kipindi.
Kipindi kinaanza saa tisa mchana hadi kumi na mbili jioni kupitia Magic FM kupitia Magic FM 92.9 Dar, 93.3 Dodoma, 98.6 Arusha/Moshi,101.7Mwanza na pia kupitia ustream MakutanoShow on USTREAM: Makutano na Fina Mango. Radio
Karibu