muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
January Makamba ni jembe; uchukie au usichukie, jamaa ana uwezo mkubwa zaidi ya wabunge wetu wengi.
I hate watu wasio na vision kwenye maisha yao; Makamba hata akishindwa lakini anajua anataka nini. Endelea Makamba hasa huo upande wa Bumbuli.
I hate watu wasio na vision kwenye maisha yao; Makamba hata akishindwa lakini anajua anataka nini. Endelea Makamba hasa huo upande wa Bumbuli.