Moyo wa nchi
Member
- Jun 21, 2023
- 81
- 127
Habari zenu,
Ingawa sikubaliana na hoja za utetezi za viongozi wa serikali na ccm yao kwamba huu SI mkataba Bali ni makubaliano.
Ni ujuha kusubiria embe chini ya mkorosho, Hawa wapuuzi wanaamini kwamba hata kama haya Wanayoyaita makubaliano yatakuwa ya kijuha basi matokeo yake yatakuwa mazuri hivi hizi ni akili au matope?
Tangu lini bunge linajadili na kupitisha au kuridhia makubaliano?
Hivi kisheria nini tofauti kati ya makubaliano na mkataba?
Je, Haya makubaliano ukomo wake ni lini?
Hivi ni makubaliano ya aina Gani ambayo hayavunjiki hata kikitokea kikwazo chochote?
Je, Haya makubaliano ni kati ya Tanzania na nchi Gani?
Kwanini makubaliano haya yavunje sheria mbalimbali za nchi?
Hivi ni mikataba mingapi tumeingia kama nchi na hatujawahi kuisikiawala kuiona kwani nini huu tulazimishwe kupewa elimu ambayo tumekataa?
Hawa viongozi wetu wasaliti wameamua kutumaliza kabisa, na kwa umoja wetu tumekataa huu ujuha.
Kuna watanzania wachache wako nyuma ya uhaini huu kama wataendelea kukaza mafuvu tutaanza kuwataja mmoja baada ya mwingine.
Kwa moyo wangu wote napenda kumpongeza au kuwapongeza wale wote waliosaidia kuvuja kwa hii takataka ya mkataba wa bandari.
Watanzania tutawaombea ingawa hatuwafahamu, mmefanya uzalendo, mmeiokoa Tanganyika nanyi MUNGU atawaokoa na kuwalinda.
Ingawa sikubaliana na hoja za utetezi za viongozi wa serikali na ccm yao kwamba huu SI mkataba Bali ni makubaliano.
Ni ujuha kusubiria embe chini ya mkorosho, Hawa wapuuzi wanaamini kwamba hata kama haya Wanayoyaita makubaliano yatakuwa ya kijuha basi matokeo yake yatakuwa mazuri hivi hizi ni akili au matope?
Tangu lini bunge linajadili na kupitisha au kuridhia makubaliano?
Hivi kisheria nini tofauti kati ya makubaliano na mkataba?
Je, Haya makubaliano ukomo wake ni lini?
Hivi ni makubaliano ya aina Gani ambayo hayavunjiki hata kikitokea kikwazo chochote?
Je, Haya makubaliano ni kati ya Tanzania na nchi Gani?
Kwanini makubaliano haya yavunje sheria mbalimbali za nchi?
Hivi ni mikataba mingapi tumeingia kama nchi na hatujawahi kuisikiawala kuiona kwani nini huu tulazimishwe kupewa elimu ambayo tumekataa?
Hawa viongozi wetu wasaliti wameamua kutumaliza kabisa, na kwa umoja wetu tumekataa huu ujuha.
Kuna watanzania wachache wako nyuma ya uhaini huu kama wataendelea kukaza mafuvu tutaanza kuwataja mmoja baada ya mwingine.
Kwa moyo wangu wote napenda kumpongeza au kuwapongeza wale wote waliosaidia kuvuja kwa hii takataka ya mkataba wa bandari.
Watanzania tutawaombea ingawa hatuwafahamu, mmefanya uzalendo, mmeiokoa Tanganyika nanyi MUNGU atawaokoa na kuwalinda.