Makosa matatu ya Mwigulu Nchemba kufikia malengo yako

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,661
2,257
1. Hupendi kukosolewa.

Ulianza siasa vibaya kwa kuwa mtu wa kupambana na upinzani na kutoona umuhimu wa upinzani nchini na hasa kuhusika na kashfa ya kumpakazia kesi Lwakatare. uwenda ilikuwa gia ya kupandia ndani ya CCM basi kubali kushirikiana na upinzani na kukuza democrasia kwenye kila ngazi ya uongozi.

2. Bado unaumauma maneno.
Lazima uwe muwazi zaidi hasa juu ya vita dhidi ya ufisadi na kuwa wazi kuelezea hali ya watanzania kukubali kununuliwa. Usitumie mafumbo kuelezea mtandao wa kifisadi unavyokaribia kuipora nchi. Waambie wazi kuelekea uchaguzi watu wasikubali kununuliwa.

3. Kujiamini kupita kiasi.
kuhisi pekeyako unaweza ni makosa hasa kwa siasa za chama chako. Lazima uunde team ya kapeni. Jaribu kuungana na Makamba na kuwa karibu na watu wasio na kashfa.

Japokuwa wengi wenyemakundi hushindwa kusimamia hoja zao bali kuyumbishwa na interest za makundi yao ila hiyo ni changamoto
 
Januari hana maana kabisa na sheria yake SHUT UP. Hafai kabisaaa, na asirudi bungeni tena
 
January hawezi kuungana na Mwigulu kwa sababu tayari January ameungana na Nape Nnauye kuhakikisha wanammaliza Mwigulu kisiasa. Sehemu yao ya kukutana ni south n sun ndipo wanapopanga mikakati yao ya ovyo
 
Mwigulu atuamie kwann wanazuon hawapewi hela zao mapema? Hadi waandamane na kupigwa mabomu ndio wapewe! Akiwa naibu wazir wa fedha alichukua hatua gani?
Pili kwann hela za bajeti mwaka 2014/2015:hazikutoka? Ziliishia wap au uchaguzi ? Je huu sio ufisadi?
 
Alikuwa anasema atabeba ajenda ya wananchi, hivi alibainisha ni ipi hiyo?
 
1. Hupendi kukosolewa.

Ulianza siasa vibaya kwa kuwa mtu wa kupambana na upinzani na kutoona umuhimu wa upinzani nchini na hasa kuhusika na kashfa ya kumpakazia kesi Lwakatare. uwenda ilikuwa gia ya kupandia ndani ya CCM basi kubali kushirikiana na upinzani na kukuza democrasia kwenye kila ngazi ya uongozi.

2.bado unaumauma maneno.
Lazima uwe muwazi zaidi hasa juu ya vita dhidi ya ufisadi na kuwa wazi kuelezea hali ya watanzania kukubali kununuliwa. Usitumie mafumbo kuelezea mtandao wa kifisadi unavyokaribia kuipora nchi. Waambie wazi kuelekea uchaguzi watu wasikubali kununuliwa.

3. kujiamini kupita kiasi.
kuhisi pekeyako unaweza ni makosa hasa kwa siasa za chama chako. Lazima uunde team ya kapeni. Jaribu kuungana na Makamba na kuwa karibu na watu wasio na kashfa. Japokuwa wengi wenyemakundi hushindwa kusimamia hoja zao bali kuyumbishwa na interest za makundi yao ila hiyo ni changamoto

well said, tatizo kubwa la mwigulu ni kuchukia wapinzani na u selfish
 
Mwigulu asidhanie watu tumesahau alivyokuwa anapiga mabomu wapinzani, sasa kati ya wapiga kura million 23 atapigiwa na wana ccm wenzake million 6
 
Mwigulu mbona mnampakazia maneno hivyo,jamaa sema hammujui ni mtu poa sana,huo ugaidi mmemfundisha nyinyi...
 
Samahani sasa hapo Makosa matatu ni yapi?

Kikubwa ni kuwa mwigulu ni kiongozi hasiye faa ktk jamii,kama alisimama bungeni na kusema ana ushahidi wa lwakatare kuhusika na ugaidi,leo hii akiwa rais wa nchi si ndio atakuwa ana wafunga wapinzani wake bila hatia?
 
January hawezi kuungana na Mwigulu kwa sababu tayari January ameungana na Nape Nnauye kuhakikisha wanammaliza Mwigulu kisiasa. Sehemu yao ya kukutana ni south n sun ndipo wanapopanga mikakati yao ya ovyo

Kwa maana hiyo ina maana makamba atampa shavu membe? Maana ktk hali ilivyo ni kuwa nape ni kijana wa membe!
 
Back
Top Bottom