Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,321
Najiuliza sana Andrew Nyerere kama ana-access JF kwanini anashindwa kupata access ya watsapp ya Makongoro.
JF kwa computer, whatsApp hawezi coz ana kitochi!
Najiuliza sana Andrew Nyerere kama ana-access JF kwanini anashindwa kupata access ya watsapp ya Makongoro.
Hivi hiki kienglish ni sawa na kusema "Don't Drink and Don't Drive" au ni " Don't Drive while Drunken?Dont Drink and Drive.
Amekatika mkia mmoja.Vipi ng'ombe amepona?
Acha kukariri wewe, kwahiyo na kazi kwelikweli utasema job true true?Hivi hiki kienglish ni sawa na kusema "Don't Drink and Don't Drive" au ni " Don't Drive while Drunken?
Yani hapa mkuu ndio huwa nakuelewaga sana, yani huyu Makongoro alikuwa amesafiri na bar nzima!!Posting yangu ya mwisho ya Makongoro niliandika nilipokuwa Butiama jinsi alivyokuwa na kreti ya bia katika buti.
Hahaha huyo ndio andrew bana..dakika mbili mbeleSasa Andrew kama Wewe Kaka Mtu kabisa huna picha zake za WhatsApp sisi wengine tungezipataje? au namba yake nayo huna? Kazi ipo hakyamungu......!
kwa hiyo mako alikuwa amelewa sio?Posting yangu ya mwisho ya Makongoro niliandika nilipokuwa Butiama jinsi alivyokuwa na kreti ya bia katika buti.
Huyu ndo yule aliekuwa anaongea vitu vya ajabu kwenye kampeni?
Atajua mwenyewe. Unafiki siwezi.Mkuu wakati mwingine tujaribu kuwa waungwana kidogo, habari hii kama ingehusu masuala ya,
harusi au sherehe kweli - lakini linapo kuja suala la ajali au kifo - tusitumbikize utani. Natoa ushauri tu kwa nia njema.
Kwakweli sijaumia alivyokula mzinga.Ndiyo huyo huyo aliyekuwa 'ameutwika' pale Jangwani mwaka jana akisema kofia hoyee.... Na miwani hoyee.....
Duh.... Hao ndiyo makada wa Sisiem..
Driving under influence!(DUI)Dont Drink and Drive.
Sasa Andrew kama Wewe Kaka Mtu kabisa huna picha zake za WhatsApp sisi wengine tungezipataje? au namba yake nayo huna? Kazi ipo hakyamungu......!
na bwana makongoro kwa matapu tapu hajamboDont Drink and Drive.