Makonda: Ukawa Wanapokea Sh. 450,000/= Kwa Siku!

Kazi kweli kweli.. Kwa hiyo Makonda yeye ndio cashier anayegawa hizo 450,000 kwa UKAWA au ndio yale yale ya domokaya?
 
Makonda ni nani?

Makonda ni aina vijana walioko ccm wanaoandaa propaganda chafu ndani ya ccm kusudi mwenyekiti wake ampe cheo kamA alivyopata mjumbe Wa katiba pia anaona mwigulu ameshiriki kwenye utekaji,ugaidi na kuua na pia kumbambikizia wtu kesi kptia policcm na kupewa naibu ktbu ccm na n/waziri Wa fedha kwahiyo Anapenda awe mzushi kusudi azidi kujipendekeza kwa mwenyekiti ccm make sifa za ccm ili uonekane bora uwe katili kwa wapinzani hsa chadema.
 
Wapewe wasipewe msimamo wao uko sahihi kwani wanafuata sheria kwa Rais kuunda tume ya katiba na kuteua Bunge maalumu la katiba ili lipitie Rasimu ya Tume na si vinginevyo!

Sasa kama Katiba Mpya haikuwa sera ya chama tawala na sasa wameona itawaweka pabaya basi Rais aamue kuachana na mpango mzima hadi serikali mpya itakapoanza.
 
Wakuu ile hali ya woga imezidi kuiandama CCM kwa kuiogopa CHADEMA na sasa hata baada ya CHADEMA kujificha ndani ya UKAWA bado CCM wanawayawaya.

Hali hiyo ilimkumba Nape kwa kusema CHADEMA inafadhiliwa na nchi za Magharibi ili kuiangamiza CCM.

Hali hiyo imejirudia baada ya Kijana Makonda kudai UKAWA imefadhiliwa na Mataifa ya nje ambapo hupokea kiasi cha Sh. 450,000/- kwa siku ili kuharibu mchakato wa Katiba mpya.

Akiongezea akadai hata hivyo fedha hizo hazitawasaidia kwani UKAWA itakufa mapema na CHADEMA Itakufa Rasmi mwaka 2015.

Swali kwa Makonda iweje serikali ishindwe kuzuia fedha hzo haramu zisiingie nchini?

Je muda wa CHADEMA kufa umezogezwa mbele kwa nini ilihali Nape na Wasira walitabiri CHADEMA kufa 2013/2014?

CCM jikiteni kuwaeleza wananchi kuhusu ahadi alizotoa Kikwete zimefikia wapi na hili deni la Taifa trilion 30 zinalipwaje achaneni na mambo ya Utabiri.

Na mtabiri wao ameshafariki sijui nani anawatabiria.
 
Makonda ana njaa kali ni kama ch.angu..doa asiye na nyumba ya kulala.....ccm ndicho kinachokufa
 
Mi nadhani makonda kichwani hamna kitu,katiba mpya imepiganiwa sana na wapinzani,iweje leo waharibu huo mchakato?huyu dogo haana kitu kichwani.
 
Makonda ametumwa aseme hivyo, awaulize waliomtuma ni nchi gani hizo? zimeichoka ccm? Kwani serikali haiwezi kuzuia hizo fedha?
 
Wakuu ile hali ya woga imezidi kuiandama CCM kwa kuiogopa CHADEMA na sasa hata baada ya CHADEMA kujificha ndani ya UKAWA bado CCM wanawayawaya.

Hali hiyo ilimkumba Nape kwa kusema CHADEMA inafadhiliwa na nchi za Magharibi ili kuiangamiza CCM.

Hali hiyo imejirudia baada ya Kijana Makonda kudai UKAWA imefadhiliwa na Mataifa ya nje ambapo hupokea kiasi cha Sh. 450,000/- kwa siku ili kuharibu mchakato wa Katiba mpya.

Akiongezea akadai hata hivyo fedha hizo hazitawasaidia kwani UKAWA itakufa mapema na CHADEMA Itakufa Rasmi mwaka 2015.

Swali kwa Makonda iweje serikali ishindwe kuzuia fedha hzo haramu zisiingie nchini?

Je muda wa CHADEMA kufa umezogezwa mbele kwa nini ilihali Nape na Wasira walitabiri CHADEMA kufa 2013/2014?

CCM jikiteni kuwaeleza wananchi kuhusu ahadi alizotoa Kikwete zimefikia wapi na hili deni la Taifa trilion 30 zinalipwaje achaneni na mambo ya Utabiri.

Makonda ni mpambe wa Sitta na hivyo sitarajii hata siku moja asiropoke maana ndiye aliyemfikisha hapo na tangu awe TAHLISO amekuwa akitumika vile. Hata hivyo hizo ni mbio tu ukingo wa sakafu ukiwadia basi na mwisho wake utakuwa umewadia.

Nape Nnauye ni kawaida yake kuropoka akisaidiwa na Wasira. Hawa ni mavuvuzela wa kawaida sana ndani ya ccm na hivyo uropokaji wake hauna madhara kwa upinzani.

Wataendelea kupiga kelele lakini bado "Hawatazuia ng'ombe kunywa maji''
 
Wakuu ile hali ya woga imezidi kuiandama CCM kwa kuiogopa CHADEMA na sasa hata baada ya CHADEMA kujificha ndani ya UKAWA bado CCM wanawayawaya.

Hali hiyo ilimkumba Nape kwa kusema CHADEMA inafadhiliwa na nchi za Magharibi ili kuiangamiza CCM.

Hali hiyo imejirudia baada ya Kijana Makonda kudai UKAWA imefadhiliwa na Mataifa ya nje ambapo hupokea kiasi cha Sh. 450,000/- kwa siku ili kuharibu mchakato wa Katiba mpya.

Akiongezea akadai hata hivyo fedha hizo hazitawasaidia kwani UKAWA itakufa mapema na CHADEMA Itakufa Rasmi mwaka 2015.

Swali kwa Makonda iweje serikali ishindwe kuzuia fedha hzo haramu zisiingie nchini?

Je muda wa CHADEMA kufa umezogezwa mbele kwa nini ilihali Nape na Wasira walitabiri CHADEMA kufa 2013/2014?

CCM jikiteni kuwaeleza wananchi kuhusu ahadi alizotoa Kikwete zimefikia wapi na hili deni la Taifa trilion 30 zinalipwaje achaneni na mambo ya Utabiri.

Poor makonda ??????
 
Back
Top Bottom