johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,144
Mwenezi wa CCM komredi Makonda amesema ukiona Rais Samia anavunja bodi ya shirika Ujue Uvumilivu imefika Mwisho
Kuna changamoto ya Mgao wa umeme na imekuwa kero kubwa kwa Wananchi hivyo Chama kinaagiza Tanesco Mjitafakari
Source: Mwananchi
Kuna changamoto ya Mgao wa umeme na imekuwa kero kubwa kwa Wananchi hivyo Chama kinaagiza Tanesco Mjitafakari
Source: Mwananchi