Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 790
Sanaa na usanii!!! Wako karibu na wananchi baada ya kuona cdm inanyemelea ikulu! Daa siasa kweli si hasa.
Tumia busara kumjibu kaka, hutapoteza kitu.Yani kinachonikera UVCCM ni utitiri wa matamko, upuuzi unaofanywa chadema nao wameuchukua, sentensi za Dr Slaa tuna taarifa n ooh tuna nyaraka naona unahamia UVCCM. Pmakonda mimi na wenzangu tumeelewa unachojaribu ku_ insinuate but you are too low and worthless scrotum
Ingekuwa busara kama huo waraka sijui niite barua mngempelekea kwanza Mwenyekiti wenu.
mleta uzi ujajuwa kuwa mti weny matunda ndio upigwao mawe??
hahahaha.... Rudia tena kwa nguvu wakuskieKumbe hadi na Nyie ccm kuna wahaini?
Hongera kiongozi wa ukweli makonda. Juhudi zako za kukijenga chama hazina mfano, vijana wenzako tunakupa big up.
chama cha mizigo (ccm) kupitia kwa kijana wake paul makonda kimesema kuna watu (hakuwataja majina) ndani ya chama wanaobeza na kufifisha juhudu za nape nauye na kinana. makonda amesema watu hao ambao ni wazee wastaafu wanapanga kile alichokiita 'uhaini'. pia akasema kijana yoyote makini hawezi kubeza kazi ya nape wala ya kinana.
Mbona mna divert attention ya watz,sisi tunataka kuona mawaziri mizigo wamefukuzwa,nape kinana wamezunguka nchi nzima kuwatangazia watz kuwa watawang'oa mawaziri mizigo na sasa mnatapatapa,Kwani lowasa ndo alochagua baraza jipya?? unatumika wewe===============
Video (On Lowassa):
.
Hongera kiongozi wa ukweli makonda. Juhudi zako za kukijenga chama hazina mfano, vijana wenzako tunakupa big up.
mtu yeyote ambaye akili ni timamu na anaijua historia ya tanzania na siasa zake hawez kubeza mafanikio ya ccm.