Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Shame on him
Wanaukimbiza tu upepo hawana hatimiliki,siku yako watavuna wayapandayo.wafanye wanavyoweza kufanya tanzania si mali yao
Bomoa iko pale pale hata usipochagua ccm si mmeona bonde la mkwajuni walichofanyiwa.Na watu wa Kinondoni waatkiwa waiichague CCM ili wabomolewe nyumba zao tujue hbakika wa nani kamtuma Makonda
Kila mwisho sio lazima uwe mbaya. Mwisho wa haya yote ni watanzania kuondokana na ujingaUnanikumbusha Rashid ktk Kuli.
Lkn tusiishie kusema hivyo tu tukiwa vyumbani, bali tuchukue hatua.
CCM haikubaliki.
Kwaiyo unaamanisha hauamini kama makonda kweli anaweza akaongea maneno ya kipuuzi kama hayo?????Weka audio akiongea hayo maneno uliyoyaandika.. maana mnapenda kuchomekea uongo kama vile hatuna masikio.
Kwaiyo unaamanisha hauamini kama makonda kweli anaweza akaongea maneno ya kipuuzi kama hayo?????
.........nakuhama hatuwezi,tutaenda wapi!!!Huu mgawanyiko mnao ujenga msije kuujutia tuu
So ukiwa na mawazo tofauti hufai aisee kuzaliwa taifa la wajinga ni shida sana
Baba yake aliwahi kufanya kituko kama hiki, kama sijakosea ni uchaguzi mdogo ulewa Peter Kafumu.ground nzuri ya petition mahakamani. Intimidation to voters
6. Whether or not at Runazi, Nyarubungo, Biharamulo town and Rusahunga polling stations votes were intimidated, discouraged misled as well as scared
hence were so many spoilt votes and blank papers to the effect that the elections were not free and fair.
Huyo mch hana lolote. Wote washamba tu.Huyu makonda akiendelea na lugha zake hizo tuta mshtaki kwa Mch Gwajima amshughulikie ipasavyo.
Ubaguzi ndio theme ya awamu hii! Uchama, Ukabila, udini na umwenzetu.Ndo shida kama mtu huarnda shule. Unakua malaya wa siasa. Wewe ni mkuu wa mkoa. Hupaswi kuwa mbaguzi kiasi hicho. Hili ni wazi sana.
Umerogwa weweSoma tena uelewe.. ukiwa hujaelewa pita kushoto.. na komwa kunijazia maneno.