Mwasongola
Senior Member
- Aug 8, 2018
- 149
- 108
Tuheshimiane basi. Hii culture ya wananchi kwenda kupokea ndege bado inaexist hadi 21st century?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali sn Kaka hatujawahi kuvunjiana heshima, ss mbona tena ubadilike unatunikana Chifu?
Wewe ndiye DAB !!?Tafadhali sn Kaka hatujawahi kuvunjiana heshima, ss mbona tena ubadilike unatunikana Chifu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikutegemea kuona haya maneno kwa msemajiUmependa nini? Lugha ya kihuni hiyo kutoka kwa msemaji wa ofisi KUU
“Pamoja na changamoto zote hizo za kupingwa, lakinimwanaumehuyu (Magufuli) amekuwa shupavu
Mi nitamtuma mwanangu dukani anunue sabuni ,sabuni zikifika nitaita majirani na ukoo wote tutapokea sabuni,nitapiga picha na sabuni maana nimenunua Mimi kwa hela ya familia ,kama ngoma zitakuwepo nitazipiga pia ,halafu kesho vipeperushi vyote vya mtaani vitanisifu kuwa hakuna kama Mimi .Nimezipenda hizi tweet kwa kweli
Sent from my SM using Tapatalk