Wakati wa utawala wa JK kulikuwa na msemo mashuhuri sana ambao ilisemekana ulitolewa na Rostam Aziz kama ushauri wake kwa JK. Msemo huo ulikuwa unasema " Kwenye udhia penyeza Rupia"
Kusema kweli wakati ule ulikuwa ukitaka tu cheo au fedha kwenye utawala wa JK basi tafuta skendo lipuka nayo siku mbili tatu utasikia umeteuliwa ukuu wa wilaya au umepewa fedha ya kufanya mambo yako unyamaze.
Naona kama Mama kama mwanafunzi mzuri wa JK anaweza kufuata nyayo hizo kuelekea 2025. Watu wote ambao wanaweza kuwa tishio kwake au wapiga domo wanaweza kuwekewa tonge mdomoni ili wasipige kelele kelele.
Makonda kapewa rushwa ili atulie au ni kweli chama kinamuhitaji wakati huu kwa nafasi aliyopewa?
Kusema kweli wakati ule ulikuwa ukitaka tu cheo au fedha kwenye utawala wa JK basi tafuta skendo lipuka nayo siku mbili tatu utasikia umeteuliwa ukuu wa wilaya au umepewa fedha ya kufanya mambo yako unyamaze.
Naona kama Mama kama mwanafunzi mzuri wa JK anaweza kufuata nyayo hizo kuelekea 2025. Watu wote ambao wanaweza kuwa tishio kwake au wapiga domo wanaweza kuwekewa tonge mdomoni ili wasipige kelele kelele.
Makonda kapewa rushwa ili atulie au ni kweli chama kinamuhitaji wakati huu kwa nafasi aliyopewa?