mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,049
- 37,251
Na sometimes anatoa taarifa za uongo. Alisimama jukwaani akatuletea the list of shame, miaka michache tu baadaye akaja kula matapishi yakeTanzania hatuna vyama vya upinzani,..tuna watoa taarifa kama Tundu Lisuu!!
Kamwe usimwamini mwanasiasa