Making Him/Her ..a husband/Wife and a Friend

Hahahaha MwanajamiiOne, Kongosho, King'asti, Lizzy, Smile, Kipipi, Kaunga na wajukuu zangu wote bila kumsahau mzee mwenzangu Bishanga..... Babu yangu Mtuweta (RIP) aliwahi nambiaga hakuna kitu kizuri na kitamu kama kuoana na rafiki yako. Na ili ujue na ujihakikishie kuwa uliyemuoa ni rafiki yako ni pale unapothubutu kuachia kaushuzi mbele yake bila woga.... Hata kama kaushuzi kenyewe kanaambatana ile harufu ya matokeo ya kufakamia mayai ya kuchemsha na maharage.......

Samahani kama nimewakwaza lakini habari ndio hiyo.

Mungu aendelee kumlaza genius Mtuweta mahali pema peponi. Amen

Hahahaha Babu bwana, ...............haya nimekusoma mjukuu wako Mtiifu.
 
Hakuna kitu kizuri duniani kama rafiki wanandoa wengi wanaishi kama mtumwa na mfalme mmoja anatoa order mwingine anafat

Yaani umegonga msumari wa moto kwenye kidonda! Asante Smile
 
Last edited by a moderator:
Nijuavyo mimi,ili muwe na familia bora lazima kuwe na urafiki baina yenu.Tena huu urafiki uanzie mwanzo kabla ya ndoa.Urafiki faida yake ni kuleta mawasiliano bora kati yenu.Kunapokuwa na mwawasiliano uhusiano utaimarika kwani mtakua huru kuelezana yale ya muhimu.Ndoa bila urafiki itaenda lakini mara nyingi ni ya kidikteta zaidi!
 
Hapo tuko pamoja babu! Sio tu kaushuzi lakini kutumia bafu pamoja, yeye akifanya vitu vyake toilet na zile gas za praaaaaktatumbaaa wakati mie napiga mswaki hapo huku namcheka! Who cares, maisha yenyewe mafupi! Hivi kila time ukijiskia ku-breki ze wind utoke bedroom? Akhuuuu!
Hahahaha MwanajamiiOne, Kongosho, King'asti, Lizzy, Smile, Kipipi, Kaunga na wajukuu zangu wote bila kumsahau mzee mwenzangu Bishanga..... Babu yangu Mtuweta (RIP) aliwahi nambiaga hakuna kitu kizuri na kitamu kama kuoana na rafiki yako. Na ili ujue na ujihakikishie kuwa uliyemuoa ni rafiki yako ni pale unapothubutu kuachia kaushuzi mbele yake bila woga.... Hata kama kaushuzi kenyewe kanaambatana ile harufu ya matokeo ya kufakamia mayai ya kuchemsha na maharage.......

Samahani kama nimewakwaza lakini habari ndio hiyo.

Mungu aendelee kumlaza genius Mtuweta mahali pema peponi. Amen
 
Am so humbled buddy, hehehe, especially now that I have been clean since forever but I miss my gun.
Its easy to tell that KING'ASTI is a woman on another league of wisdom

Salute, salute, salute......................
 
Wapenzi natumaini wote mu wazima.
Nimekuwa nikisoma mawazo yenu hapa jamvini juu ya mahusiano na kujikuta nachanganyikiwa zaidi ya kuwaelewa. Picha niliyoipata kwa muda ni kutomfanya mpenzio kama mume/mke wako bali awe rafiki. Nilikuwa na mawazo potofu kuwa kunyenyekea, kuenzi mpenzi ndio njia ya kumfanya aelewe kuwa ninampenda but reactions za wengi ilikuwa ni no, no and no. Soulmate aligoma kuvuliwa viatu lol, Lizzy akagoma kunyimwa unyumba....................matokeo yake ni kuwa tunashauriwa mume/mke wako awe rafiki yako, rafiki zaidi ya mume/mke.

Najiuliza how do we make/turn our spouses/partners your friend?? Na wakati gani huu urafiki unaanza kujengwa, tukiwa marafiki au tukiwa tushakula viapo?

Making him/her your friend than your spouse.
Rafiki, kama ulishaingia kwa gia ya kunyenyekea na kumwita baba nyiingi, sijui ukibadilika na kumfanya rafiki utaingia kwa gia ipi..................... sina uhakika sana kwa hili......................
nililo na uhakika nalo ni kumfanya mtu rafiki yako kabla ya vile viapo. na hii nadhani inatokea automatic, sababu mnaanza kama marafiki basi muendelee kuwa marafiki... siyo ukishasema I DO basi unaanza ku-act kama MKE/MUME na siyo kama rafiki. Huwa nachukia sana mtu wangu wa karibu anaponiambia ana shida fulani lakini anaogopa ataanzaje kumwambia MKE/MUME wake. hivi inatokeaje unapotaka kuongea na mwenzio ujione kama unaenda kufanya mtihani? hainiingii akilini
 
Urafiki ktk ndoa ni jambo zuri pia unatengenezwa ktk kujitoa na kujifunza mambo mapya eg, umbea,mitindo,siasa/chadema,uk soccer,magari etc..ila urafiki usipitilize mno, ili majukumu/hadhi nayo yachukue nafasi.. Kitu chochote kikikosa kiasi huwa ni kibaya..
 
Kwa kifupi sana mimi nadhani ni vizuri kuwa vyote viwili. Kuna muda inabidi uwe rafiki wa mke/mume na kuna muda inabidi uhusiano wa mke na mume uchukue nafasi. Hii inakwenda hata kwa watoto yaani kuna muda inabidi watoto wawe marafiki lakini pia kuna muda uhusiano wa mzazi/mtoto lazima uchukue nafasi yake.

Kwa maelezo zaidi click here.
 
kila kitu kifanywe kwa kiasi na kwa kuzingatia heshima, mazingira yaliyopo etc... siyo mko sebuleni na mgeni, mwenza anapita anajamba eti kwa sababu huwa mnataniana....
 
Mnakuwa marafiki kwanza!! Halafu mnakuwa marafiki kila siku!!

Wapenzi natumaini wote mu wazima.
Nimekuwa nikisoma mawazo yenu hapa jamvini juu ya mahusiano na kujikuta nachanganyikiwa zaidi ya kuwaelewa. Picha niliyoipata kwa muda ni kutomfanya mpenzio kama mume/mke wako bali awe rafiki. Nilikuwa na mawazo potofu kuwa kunyenyekea, kuenzi mpenzi ndio njia ya kumfanya aelewe kuwa ninampenda but reactions za wengi ilikuwa ni no, no and no. Soulmate aligoma kuvuliwa viatu lol, Lizzy akagoma kunyimwa unyumba....................matokeo yake ni kuwa tunashauriwa mume/mke wako awe rafiki yako, rafiki zaidi ya mume/mke.

Najiuliza how do we make/turn our spouses/partners your friend?? Na wakati gani huu urafiki unaanza kujengwa, tukiwa marafiki au tukiwa tushakula viapo?

Making him/her your friend than your spouse.
 
...kwani tafsiri sahihi ya URAFIKI ni nini?
Isije ikawa kumbe kila mtu ana tafsiri yake.
Mume/Mke na RAFIKI ni vitu viwili tofauti.
Mume/Mke ni 'Rafiki'.....lakini Rafiki sio Mume/ Mke.
 
Back
Top Bottom