MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapenzi natumaini wote mu wazima.
Nimekuwa nikisoma mawazo yenu hapa jamvini juu ya mahusiano na kujikuta nachanganyikiwa zaidi ya kuwaelewa. Picha niliyoipata kwa muda ni kutomfanya mpenzio kama mume/mke wako bali awe rafiki. Nilikuwa na mawazo potofu kuwa kunyenyekea, kuenzi mpenzi ndio njia ya kumfanya aelewe kuwa ninampenda but reactions za wengi ilikuwa ni no, no and no. Soulmate aligoma kuvuliwa viatu lol, Lizzy akagoma kunyimwa unyumba....................matokeo yake ni kuwa tunashauriwa mume/mke wako awe rafiki yako, rafiki zaidi ya mume/mke.
Najiuliza how do we make/turn our spouses/partners your friend?? Na wakati gani huu urafiki unaanza kujengwa, tukiwa marafiki au tukiwa tushakula viapo?
Making him/her your friend than your spouse.
Nimekuwa nikisoma mawazo yenu hapa jamvini juu ya mahusiano na kujikuta nachanganyikiwa zaidi ya kuwaelewa. Picha niliyoipata kwa muda ni kutomfanya mpenzio kama mume/mke wako bali awe rafiki. Nilikuwa na mawazo potofu kuwa kunyenyekea, kuenzi mpenzi ndio njia ya kumfanya aelewe kuwa ninampenda but reactions za wengi ilikuwa ni no, no and no. Soulmate aligoma kuvuliwa viatu lol, Lizzy akagoma kunyimwa unyumba....................matokeo yake ni kuwa tunashauriwa mume/mke wako awe rafiki yako, rafiki zaidi ya mume/mke.
Najiuliza how do we make/turn our spouses/partners your friend?? Na wakati gani huu urafiki unaanza kujengwa, tukiwa marafiki au tukiwa tushakula viapo?
Making him/her your friend than your spouse.