Nimekuwa nafuatilia bunge mara nyingi ila sijawahi kuona spika wa bunge akisimamia mambo muhimu amwagiza naibu waziri kwenda kutafuta majibu kwani alitoa majibu ambayo hatoshelezi!
Ni muda mrefu mawaziri au manaibu waziri wanajibu ovyo ovyo au kutoa irrelevant na spika anaridhia.
Ni muda mrefu mawaziri au manaibu waziri wanajibu ovyo ovyo au kutoa irrelevant na spika anaridhia.