Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Hawa jamaa wa makhirikhiri ni mafano wa kuigwa, tunahitaji tuwe na vikundi vya sanaa za asili ambavyo vimejitangaza kimataifa ili waweze kupata mialiko ya nje kuutangaza utamaduni wetu kama hawa jamaa na utamaduni wao wa kibotswana. Wako wapi wakima Mwanzalima ambao wanaweza kuutangaza utamaduni wetu?. Serikali kupitia wizara ya elimu na utamaduni wana kazi kubwa ya kuhakikisha ngoma zetu za asili zinatumika kuutangaza utamaduni wetu pamoja na vivutio vya utalii wetu wa hapa nchini kimataifa.