Kutokana na uchaguzi mkuu wa Rais, Ubunge na Madiwani kutarajiwa kufanyika siku ya tarehe 25/10/2015 ambayo ni siku ya jumapili .
Ni busara makanisa kama inawezekana wakubaliane kufanya ibada siku ya Jumamosi ya tarehe 24/10/2015 ili kuwapa waumini wao nafasi ya kupiga kura kwa ufasaha siku ya Jumapili ya tarehe 25/10/2015.
Kwa Mungu nadhani siku zote ni sawa mbele zake kufanya ibada.
Ni mtazamo wangu tu.
Ni busara makanisa kama inawezekana wakubaliane kufanya ibada siku ya Jumamosi ya tarehe 24/10/2015 ili kuwapa waumini wao nafasi ya kupiga kura kwa ufasaha siku ya Jumapili ya tarehe 25/10/2015.
Kwa Mungu nadhani siku zote ni sawa mbele zake kufanya ibada.
Ni mtazamo wangu tu.