Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,066
- 1,047
Leo kwenye Channel 10 zaidi ya habari wameonyesha taarifa maalum kuhusu uchomwaji wa makanisa mjini Bukoba ambapo mpaka sasa yamefikia makanisa sita.
Mkuu wa jeshi la polisi asema wananchi wasaidie kuwafichua wahusika.
Mbunge wa Bukoba balozi Hamis kagasheki anasema wanaochoma wanataka kuwasingizia waislam ila yeye anawajua.
Wamechoma makanisa ya madhehebu karibia yote.
Sielewi nini kinaendelea kwa kweli taifa na dunia juu ya imani tupo kwenye mtihani mkubwa.
Chanzo: channel 10 Habari saa 1 usiku.
Mkuu wa jeshi la polisi asema wananchi wasaidie kuwafichua wahusika.
Mbunge wa Bukoba balozi Hamis kagasheki anasema wanaochoma wanataka kuwasingizia waislam ila yeye anawajua.
Wamechoma makanisa ya madhehebu karibia yote.
Sielewi nini kinaendelea kwa kweli taifa na dunia juu ya imani tupo kwenye mtihani mkubwa.
Chanzo: channel 10 Habari saa 1 usiku.