babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Wanajamvi na wataam wa katiba naomba nijuzwe ni zipi kazi za makamu wa rais wa jamhuri ya muungano wa tz maana kila nikitafakari naona ziko sawa na kazi za mke wa rais. kama ni kukata utepe wote wanakata kama ni ufunguzi wa makongamano na warsha mbalimbali wote wanafanya. hata hili la kutokuwa na uwezo wa kuwajibisha watumishi wakorofi wote wanashindwa sasa hapo nashindwa kujua kazi zao zinatofauti gani?
Na je kwa nini asibaki mmoja kwa kazi hizo na tena madiwani wabunge na hata viongozi wa mikoa na wilaya hawawezi kufanya hayo yote tena kwa gharama ndogo? nawasilisha
Na je kwa nini asibaki mmoja kwa kazi hizo na tena madiwani wabunge na hata viongozi wa mikoa na wilaya hawawezi kufanya hayo yote tena kwa gharama ndogo? nawasilisha