mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,604
- 5,611
Far East??Duh!!
Ukisikia kuna watu wanakuwa blessed kila upande, ndo hawa sasa...
Yaani uzee wote huo bado alikuwa ana-enjoy kampani ya Mama Mzazi?!
Kwa watu wa Far East, ni kawaida sana lakini akina sie, dah! Ukifika 50 na bado Bi Mdhashi yupo, ni jambo la kushukuru!!
Anyway, pole sana Daktari wa Fizikia...
Moja ya Vichwa Bora kupata kutokea lakini akakiingiza kwenye siasa...
Waswahili au watu wa pwani hawana stress na maisha.