Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Professor Mbarawa has published 45 of articles in national and international journals and presented 36 scientific papers in various conferences.
Siyo kipimo uanasiasa!! Mafanikio kwenye academics siyo lazima iwe ni (kielelezo?) cha utendaji mzuri kwenye uongozi. Sarungi alikuwa na articles zaidi ya 200 na hatukuona cha ajabu - na hatimaye akaja akaangushwa na Std 7 (yule mbunge wa Rorya).