Smartboy
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 1,110
- 128
Have you ever heard msemo 'kijana wa makamo'??Acha uhuni,jadili hoja au nyamaza!
Jafarai ambaye alikuwa mme wake alisema huyo ni kicheche mzee baada ya kutoa gap kwa mr 2
Have you ever heard msemo 'kijana wa makamo'??Acha uhuni,jadili hoja au nyamaza!
Kwani ujana kwa muktadha wa CCM unaishia kwenye umri wa miaka mingapi?
1st Shyrose is no more kijana she's 42yrs old so the topic bogus
Kwani hakuna ukomo wa ujana maana me sielewielewi vile maana shyrose bado tuu ni kijana???????????? Me naona mniache niendelee kula ugali hapa na kuku
Magige anafanya kwa niaba ya controller wa CCM mkoa wa arusha EL coz yeye ndo anapanga safu za uongozi na ukiwa mtiifu kwake utakula mema ya nchi, na magige anatimiza wajibu.
EL ndo alifanikisha Batilda kupita kura za maoni, James Milya kuwa m/kit wa UV ccm mkoa ars, Nembrisi kimbele kuwa kiongozi UWT na hata ubunge wa viti maalum wa Namalek Sokoine kataftiwa na EL ili asipeleke ushindani monduli na wale wabishi kwa matakwa ya EL huwajibishwa mfano ni ktk uchaguzi wa CCM ktk nafasi ya m/kiti CCM mkoa na jumuiya ya wazazi lekule laizer na elisa mollel walitoswa live kwa msaada wa takukuru, so since hapo uongozi wa CCM Arusha ni watiifu kwa ELna sio hao tu hata viongozi wa dini ka askofu Laizer so lolote utakalo sikia toka kwa uongozi wa CCM Arusha ni kwa amri ya EL na wako kumlinda yeye na ni sababu ya njaa zao na uchu wa madaraka.
Hence hili la Magige ni EL at work am sure asilimia mia moja