Moseley
Senior Member
- Jul 10, 2010
- 187
- 94
People are divided into three main groups depending on the mind set..
1. Lower mind - (Discuss other people)
Group hili wao ni kujadili mambo binafsi ya watu.. Ambayo ki u halisia hayana mashiko wala mantiki yoyote..
2. Ordinary mind - (Discuss events)
Hawa hujadili matukio yanayotokea, bila ya kufikiri kwa undani kuhusu matukio hayo..
3. Higher mind - (Discuss ideas and solutions to problems)
Hawa hujadili jinsi ya kufanikiwa, kufanikisha mambo ya msingi na kutatua matatizo mbali mbali yanayoikabili jamii..
Siku chache zilizopita MAKAMBA alitumia list kama hii na kusema kuwa CHADEMA wana akili ndogo kutokana na hotuba waliyoitoa katika ufunguzi wao(Chadema), na akamsifia kikwete kuwa yupo group la Higher minds,(Shame)..
Kutokana na mjadala usio na msingi ulioanzishwa na CCM kuhusu ndoa ya Dr Slaa, namwuliza MAKAMBA, Yeye(CCM) na CHADEMA nani ana akili ndogo????
Kuendeleza mjadala wa maisha binafsi ya Dr Slaa, inatusaidia zaidi kumweka MAKAMBA na CCM yake katika group lao stahiki..
Tujiulize:
Group la MAKAMBA na CCM yake wataweza kutuongoza????????????
1. Lower mind - (Discuss other people)
Group hili wao ni kujadili mambo binafsi ya watu.. Ambayo ki u halisia hayana mashiko wala mantiki yoyote..
2. Ordinary mind - (Discuss events)
Hawa hujadili matukio yanayotokea, bila ya kufikiri kwa undani kuhusu matukio hayo..
3. Higher mind - (Discuss ideas and solutions to problems)
Hawa hujadili jinsi ya kufanikiwa, kufanikisha mambo ya msingi na kutatua matatizo mbali mbali yanayoikabili jamii..
Siku chache zilizopita MAKAMBA alitumia list kama hii na kusema kuwa CHADEMA wana akili ndogo kutokana na hotuba waliyoitoa katika ufunguzi wao(Chadema), na akamsifia kikwete kuwa yupo group la Higher minds,(Shame)..
Kutokana na mjadala usio na msingi ulioanzishwa na CCM kuhusu ndoa ya Dr Slaa, namwuliza MAKAMBA, Yeye(CCM) na CHADEMA nani ana akili ndogo????
Kuendeleza mjadala wa maisha binafsi ya Dr Slaa, inatusaidia zaidi kumweka MAKAMBA na CCM yake katika group lao stahiki..
Tujiulize:
Group la MAKAMBA na CCM yake wataweza kutuongoza????????????