Makamba ataka mwanae amrithi Shelukindo...

Mkuu Buricheka,

Hata kama Kelly ana mahusiano na JM, je kuna kosa lolote kwa yeye kutoa maoni yake hapa? Ni vizuri kuongea utendaji wa JM lakini pia sioni kama ni vibaya kwa mtu anayemfahamu vizuri JM (kwa mfano - rafiki yake) kutoa maoni yake kumhusu.

Thank you mwafrika...umenena manake kila mtu anafikiria wrong miye kumpigia debe JM.....Inamaana wanaume waliokuwa wanampigia debe Hilary Clinton nao walikuwa na mahusiano?.....au ni vile tuu unavyoona utendaji wake wa kazi......


Yeah mwafrika you rock!.....

Kelly

Unaona sasa kila mtu anajua ume-du na January hahahahah uwiiii nataka kufariki....!

shem shem!...lol!...umekuwa shabiki maandazi mwangalie......kichwa kibaya kama changu hahahaha!>....Love is wicked

Kosa ni kwamba, unapoanza kumuongelea mtu yeyote yule mbele za watu, kutoa uchambuzi wa kazi yake au tabia yake, kama una uhusiano nae wowote ule, mapenzi, ushemeji, urafiki, sema mapema!

Sema mapema.

Inaitwa fair disclosure.

Ili tusije kugundua baadae kwamba kumbe Kelly01 ana uhusiano wa kirafiki na January ndo maana anamfagilia.

Anapalilia mlo?

Sasa leo Kelly01 atatutajia, January Makamba amefanya nini kizuri kazini. Aseme kimoja!

Bulicheka...suikonde mwanawane....JM ni friend just like you and everybody else....nilicheka tuu kuona jinsi mlivyo interpret things...umeshanielewa....No miye hata nikiona weye wafaa pia nitakupigia debe...its all about kuona nani anafaa you know.....ni kijana mdogo ana upeo na very smart indeed....Mbona nampigiaga debe hata mwanakijiji jamani sema tuu mwanakijiji is far away from Tz....najua kuna vijana wengi tuu kuna wengine wako kwenye viti maalum kama akina Tom Apson alafu kuna demu mwingine pia yupo bungeni huko ila ndiyo hivyo wamepata viti alafu wako kimya hebu ngoja nikumbuke majina yao wale vijana wabunge wa vitu maalum....ooh yeah nimekumbuka yule mbunge wa viti maalumu na kijana tuu anaitwa Rosemary Kirigini....kuna wabunge wengi tuu siyo necessarily zitto tuu...mnaweza kuanza pigia debe hao.....just to name the few...
 
Last edited:
Ninamwongelea mmoja wa wabunge wazee waliojichokea na mawazo yao mgando, william shelukindo!

William Shelukindo anaweza kuwa ana mapungufu yake lakini pia kwa upande mwingine ni mojawapo wa wabunge walio imara wenye kuweza kusimama kinyume na maovu ya serikali. Tumeona utendaji wake mahususi akiwa kama mwenyekiti wa kamati inayosghulikia mambo ya nishati (Richmond and Dowans scandals).

Nilikuwa Bumbuli mara ya mwisho mwaka jana, barabara zilikuwa zinatengezwa kwa kiwango cha changarawe kwa uhisani wa EU. Pia jamaa alikuwa anashughulikia soko la chai inayozalishwa huko Bumbuli. I support him to remain on the post.
 
Kelly,

FYI:The true meaning ya Mwanawane comes from Sukumaz. Mwana=Mwana,wane=wangu
so mwanawane kwa kiswahili ni mtotowangu.

Concord

Masahihisho kidogo tu:
Siyo "Mwana wane" ni "Ng'wana wane" (kwa kisukuma) = Mtoto wangu
 
Masahihisho kidogo tu:
Siyo "Mwana wane" ni "Ng'wana wane" (kwa kisukuma) = Mtoto wangu

Kwa maana hiyo mwanawane imetokana na NG'wanawane?....so ina same meaning au?...hebu nifafanulie maana miye toka niambiwe mwanawane ni rafiki nikawa naitumia tuu!....nikijua kila mtu mwanawane....
 
Bulicheka...suikonde mwanawane....JM ni friend just like you ....

Kwa hiyo unataka kusema mimi na wewe tuna mahusiano wa kirafiki? What's next, kunisingizia mtoto, unichune alimony na matunzo ya mwanawenu?

Usikonde.

...ni kijana mdogo ana upeo na very smart indeed.......najua kuna vijana wengi tuu kuna wengine wako kwenye viti maalum kama akina Tom Apson alafu kuna demu mwingine pia yupo bungeni huko ila ndiyo hivyo wamepata viti alafu wako kimya .. wale vijana wabunge wa vitu maalum....ooh yeah nimekumbuka yule mbunge wa viti maalumu na kijana tuu anaitwa Rosemary Kirigini....
Unajua tatizo ninaloliona ni kwamba unajaribu kumbeba kijana yeyote kiongozi kwa kuwa tu kijana. Kuna vijana wazembe mwanawane. Huyo January unasema amefanya kazi nzuri ofisini, lakini umeshindwa kuitaja.

Huyo Tom na Rose ndio usiseme tena, hatuwasikii, hawasaidii chochote. Wangekuwa wana majimbo tungesema labda ni wakimya lakini twende tukacheki majimboni kwao wamefanya nini. Hawana majimbo, wamepewa fadhila tu. Tom lazima anyamaze, hawezi kuchafua hali ya hewa, babake anasemwa semwa kila siku kwamba alikuwa fisadi mkubwa wakati anaongoza Usalama. Rosemary nae kwangu ni kituko, kuna siku alihojiwa na gazeti akasema mawazo yake yote ya kisiasa anayapata kwa babake, Mzee Kirigini, aliyekuwa Mbunge miaka mia nne iliyopita, na hakufanya chochote kwao Musoma Vijijini. Kijana gani anachukua mawazo ya Wajamaa wa Kale?
 
Kwa maana hiyo mwanawane imetokana na NG'wanawane?....so ina same meaning au?...hebu nifafanulie maana miye toka niambiwe mwanawane ni rafiki nikawa naitumia tuu!....nikijua kila mtu mwanawane....

Ndiyo maana yake,

Kama vile Mashikolo Matale Ga Jiganga Jilangisa Ntemigwa Bafumu Mtola Baanike Banono Ng'wana wa Ng'wanamalonde aka I and I.

Hebu jaribu kulisema hilo jina langu jipya mara tano, Mobutu haoni ndani.
 
Ndiyo maana yake,

Kama vile Mashikolo Matale Ga Jiganga Jilangisa Ntemigwa Bafumu Mtola Baanike Banono Ng'wana wa Ng'wanamalonde aka I and I.

Hebu jaribu kulisema hilo jina langu jipya mara tano, Mobutu haoni ndani.

B...Hahahaha no way hilo jina lako ni refu sana alafu gumu kupita kiasi nitakuita Banono Matale...hapo vipi?.....ok so now i get it kumbe mwanawane imetokana na ng'wanawane kwa kisukuma....maana napata shida sana kuelewa watu bongo na misemo yao ni migumu sana aisee....maana watu wanaunganisha tuu maneno...nabakia excuse me....naomba ongea kiswahili fasaha,,,,,
 
Last edited:
Kwa hiyo unataka kusema mimi na wewe tuna mahusiano wa kirafiki? What's next, kunisingizia mtoto, unichune alimony na matunzo ya mwanawenu?

Usikonde.

Oh yeah Bulicheka...kwani kuna hatari yeyote miye na wewe kuwa marafiki?....unless wewe mwanzangu wafikiria urafiki wa Mikasi...no way!...ni urafiki wa kujuliana hali na kubadilishana mawazo....si unajua kuna jambo unaweza ukawa unalijua vizuri zaidi yangu na ukanielimisha...ushanielewa?.....usihofu about Almony mwanawane....hapo ulipo una matatizo mengi sana ungekuwa michael jackson au Bill gate sawa nisingefikiria twice hahahahahah!....~smile~....

Unajua tatizo ninaloliona ni kwamba unajaribu kumbeba kijana yeyote kiongozi kwa kuwa tu kijana. Kuna vijana wazembe mwanawane. Huyo January unasema amefanya kazi nzuri ofisini, lakini umeshindwa kuitaja.

yeah at least nawabeba viongozi ambao wana mwangaza kwenye politics umeshanielewa sasa siwezi kumchukua mtu kama let say Bluray yeye ni mchumi then nikamuingiza kwenye politics ni atachemsha tuu!....au lah awe anatayarishwa sasa hivi.....

Huyo Tom na Rose ndio usiseme tena, hatuwasikii, hawasaidii chochote. Wangekuwa wana majimbo tungesema labda ni wakimya lakini twende tukacheki majimboni kwao wamefanya nini. Hawana majimbo, wamepewa fadhila tu. Tom lazima anyamaze, hawezi kuchafua hali ya hewa, babake anasemwa semwa kila siku kwamba alikuwa fisadi mkubwa wakati anaongoza Usalama. Rosemary nae kwangu ni kituko, kuna siku alihojiwa na gazeti akasema mawazo yake yote ya kisiasa anayapata kwa babake, Mzee Kirigini, aliyekuwa Mbunge miaka mia nne iliyopita, na hakufanya chochote kwao Musoma Vijijini. Kijana gani anachukua mawazo ya Wajamaa wa Kale?


sasa Bulicheka jamani eeh si tumeongelea hili swala huko juu kuwa mapungufu ya mzazi tusimpandikizie na mtoto.......kama alichemsha baba itakuwaje pia mumbebeshe na mtoto......kama Tom Apson aliyechemsha ni mzee Apson lakini siyo Tom...si ndiyo kaanza na viti Maalum right?...then next ataingia kwenye jimbo give him time...taratibu ndiyo mwendo.....

Hilo tatizo la Rose kumsikiliza baba yake naye anakosea maana sasa anarudi kule tulikotoka ni heri hata ya Amina chifupa alikuwa very strong yule mnyaluko wangu!...RIP amina you will remembered....hawa akina Rose unajua kama wakiacha kuwasikiliza hawa wazee wetu wangekuwa mbali sana...sema tatizo i think wanaogopa wasije wakawakolimba kama Amina Chifupa....si unajua hivi vikongwe vilivyopo kwenye serekali bana wako toka miye nazaliwa nawasikia mmoja wao Jackson makweta,,,,haachii aisee ni mbunge toka enzi hizo mipo chekechea..ukienda kutaka kugombea utakuta anakuwa mkali sana no wonder hana upunzani hadi leo hii...
 
mkuu kipunguni
hakuna ubaya wowote kwa january kugombea,kwangu hiyo sio ishu,ishu ni kwanini babayake ndiye amtangulie kwenda kumsemea?kwanini haendi mwenyewe front line?anaogopa nini?huyu ndio kuna watu wanadhani anaweza kuja kuwa presidaa huyu,presidaa mtarajiwa hata kuomba ubunge hawezi?arrrrrrrrghhhhhhh
 
Hivi kuna sababu gani hii Thread imepandishwa tena Juu? Tutakuwa hatuwatendei haki hawa Watanzania wenzetu wanaotaka kutafuta nafasi za uongozi,au tutaonekana tupo hapa kuwafanyia kampeni baadhi ya watu.Jukwaa/Forum hii imekuwa source ya News kwa watu wengi,kuandika mambo ambayo kwa namna moja au nyingine yanawachafua wenzetu si uungwana.
 
ila januari si anafaa au akataliwe tu kwa sabababu ya baba yake tuweni wazkweli mshikaji anapiga kazi si mlisikia hadi kabwe alimpa ufagio! inshort CCM kuna viongozi makini wa kutosha
 
Huyo jamaa aliyeoa dada yake anagombea kiti gani?

Na hao watoto wenye pasi za nchi mbili mbili wako chini ya miaka 18?

Kama ni watu wazima, haimhusu baba yao, wala sisi haituhusu. Si forum ya mipasho ya watoto wa Shelukindo.

Kweli mambo mengine ni uongo tu, kama kina Baraka wana passport mbili si nawewe katafute shida nini, maana wale ni watu wazima.

Uchaguzi ndo huo haujari ni shelukindo au January, ukubwa au uzee bali ni jinsi gani unweza kushawishi watu wa jimbo lako,na kama mtu ulikuwa mbunge halafu ukapigwa kumbo kama shelukindo basi ujue kakuwa mbunge wa watu wa jimbo lake bali alikuwa anajishughulisha na mambo ya nje na kusahau ahadi alizotoa kwa wapiga kura, maan kama angefanya aliyo ahidi lazima angeshinda.
Mafisadi wapita kwa kura nyingi kwenye kura za maoni ni kwa sababu walitekeleza ahadi zao licha ya kuwa mafisadi kupindukia
 
Wacha waumane(wakinukishe)
mtoto alishalilia wembe muda mrefu(longi taimu) sie ni watazamaji na wasikilizaji tu na ama kwa hakika lolote litakalo jiri sie ni amani tu(baridi). Awe Shikamoo(jazz) Shelu au Yoso' Janu..
 
January ana creditials zote kuwa Mbunge, kama ni kweli litakuwa na wazo la mbolea sana. I can see this young man ana excel katika nyadhifa za juu huko mbeleni.

Tatizo watu wana mhukumu January kwa kuangalia utendaji wa baba yake badala ya kumuangalia January kama January, the guy is very intelligent and the future is bright for him.

Hawa ndio calibre ya vijana tunao wataka kule mjengoni go January...

uliona mbali mmkuu kijana yupo mjengoni... na anafanya mambo muhimu sana kwa ajili ya jimbo lake..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom