Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Yakhe, Makamba kurithisha watoto wake!
sikulewi
lakini kwa kukuhabarisha tuu ni kuwa SHELUKINDO sasa hivi ni kama HEADLESS CHICKEN anatapa tapa tuu...na mbaya zaidi last time alishinda nominationnarrowly tena alisumbuliwa na mzee mmoja MWANAKIJIJI kule Bumbuli ambaye hakufanya hata kampeni
Fact ni kuwa anasema na nishamsikia kwa masikio yangu kuwa January akiiingia kule basi ndio utakuwa mwisho wake Kisiasa.
fact nyingine ni kuwa juzi tuu Mzee Makamba alikuwenda Lushotoakaacha kwenda kata za jimbo la Bumbuli in deference asionekane anafanya kampeni dhidi yake huyo SHELUKINDO ambaye politically keshakuwa bankrupt na way out anayoiana yeye ni pre-empt jambo ambalo halipo