Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
Habari za kiintelejesia nilizo zipata juu ya chanzo cha milipuko ya makombora ni umeme. Kwa kawaida eneo hilo la maghala ya jeshi, alitakiwa kuzimwa viyoyozi kabisa.
Cha kustajabisha, inaonekana makambi ya jeshi yetu ayana masomo ya safety au awazingatii.
Umeme ni janga la taifa kuliko hata Ukimwi. Uzalishaji umepungua, ajira za watu zimepungua. Miaka 50 ya inchi huru. Umeme bado aujapata mwarubaini. Mikataba mibovu.
Tunaitaji mabadiliko, tunaitaji wachapa kazi wenye kujali maslai ya Taifa na wanaichi mbele. Napenda siku moja kuwa na jivunia utanzania wangu.
Kwa taharifa yako tu, wanajeshi kibao wamepoteza uhai. Habari zao ni siri kubwa kama mikataba ya Ufisadi.
Cha kustajabisha, inaonekana makambi ya jeshi yetu ayana masomo ya safety au awazingatii.
Umeme ni janga la taifa kuliko hata Ukimwi. Uzalishaji umepungua, ajira za watu zimepungua. Miaka 50 ya inchi huru. Umeme bado aujapata mwarubaini. Mikataba mibovu.
Tunaitaji mabadiliko, tunaitaji wachapa kazi wenye kujali maslai ya Taifa na wanaichi mbele. Napenda siku moja kuwa na jivunia utanzania wangu.
Kwa taharifa yako tu, wanajeshi kibao wamepoteza uhai. Habari zao ni siri kubwa kama mikataba ya Ufisadi.