Triplets
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 1,146
- 202
Unaweza kuwa sahihi,kinachoshangaza ni nia ovu ya kujificha kwenye kichaka cha mabadiliko huku mkikumbatia watu waovu walioshika madaraka makubwa ya ki-CCM na kiserikali - mliwasema sana kwa ushahidi mliouita usio na mashaka siku za nyuma leo hii mmewaona ni tunu itakayowavusha watanzania kwenye umaskini walionayo
Ushahidi usio shaka ulitoka kwa mwakyembe na group lake, lakini baada ya kumsikiliza lowassa na kulinganisha maelezo yake na ushahidi wa kina mwakyembe, ukweli ukabainika...