AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Nashindwa kuiponda NCCR Mageuzi kwani najua angalau wao na CHADEMA ndiyo wapinzani pekee waliobakia, lakin napata tabu kidogo kuona good co-perfomance ya bungeni kati ya CHADEMA na NCCR inavyofanya vizuri sana ktk kutetea maslahi ya taifa lakin ukija nje unakuta vita vya petty politicians wa NCCR kama Deo Kisandu dhidi ya CHADEMA, sasa hapo unajiuliza ni kweli hiki chama kina nia ya dhati kweli kama ya CHADEMA ktk kulikomboa taifa?