Majini, Mapepo, Maruhani, Uchawi na Kitimoto/Nguruwe; ukweli ni upi?

Hoja haijajibiwa na kwa vile sina authority kwenye hili, nafuatilia tu kwa ukaribu.

By the way huyo Ndodi alizungumziaje kisa cha Petro alivokuwa na njaa, akaambiwa ale wote wenye miguu MINNE< na watambaao, na ndege?

Pili, wale mapepo waliowaingia nguruwe, nikiangaliwa ki mkuktadha ni kwam vile hao nguruwe walikuwa pale wakati huo, ingewezekana ikawa kondoo, mbuzi, ng'ombe etc, je na wenyewe tungewajengea hoja hiyo? Huyo kasoma theolojia ya wapi?

Unaposema kuwa eti nguruwe walivyoingiliwa na mapepo ndiyo sababu ya kutokula nguruwe ni Lazima ukubali kuwa Yesu alipomkemea Petro kwa kusema '...Nenda nyuma yangu shetani' Petro alikuwa shetani tangu wakati huo.

Theolojia uchwara huusishwa nguruwe na tukio hili

To understand the Bible unatakiwa kuelewa au kustudy plot nzima ikiwa ni pamoja na mazingira ya verses husika.
 
Unaposema kuwa eti nguruwe walivyoingiliwa na mapepo ndiyo sababu ya kutokula nguruwe ni Lazima ukubali kuwa Yesu alipomkemea Petro kwa kusema '...Nenda nyuma yangu shetani' Petro alikuwa shetani tangu wakati huo.

Theolojia uchwara huusishwa nguruwe na tukio hili

To understand the Bible unatakiwa kuelewa au kustudy plot nzima ikiwa ni pamoja na mazingira ya verses husika.


Kabisa mkuu! Ndo maana nahoji hawa wanaojiita madaktari sijui ni wa nini ili mradi kila mtu keshapata kamradi kake! Nimeipenda hiyo ya Petro! hebu na wamkane sasa!
 
Kabisa mkuu! Ndo maana nahoji hawa wanaojiita madaktari sijui ni wa nini ili mradi kila mtu keshapata kamradi kake! Nimeipenda hiyo ya Petro! hebu na wamkane sasa!
Chakula ni kwa ajili ya tumbo na tumbo ni kwa ajili ya chakula.
Kinachomtoka mtu moyoni, maneno, fikra etc ndicho kimtiacho mtu unajisi na ni haramu.

ndiyo maana pombe si vizuri kwa sababu ukiinywa kupita kiasi unaweza kuanza kutukana watu hovyo, kwa sababu maneno hutoka ndani ya mtu, na hukata kama upanga.
 
mkubwa hii pilau ipo na inapikwa sana.ask wachaga zey will tell yu.inapendwa sana kuliwa na ndizi manake ule umafutafuta ukiuterenshia kwa ndizi kavu unakua poooa.
hapo hupati tabu.

inauzwa wapi hii mwana
 
Kwa kweli wale ambao imani zao haziwaruhusu kula hii kitu basi bora wasionje kabisa manake wakishaanza hawataacha. Niliishi Tanga kwa kipindi fulani kuna sehemu wanaita 77 humo ndani kinapikwa kitu, basi si unajua Ta waarabu na wenye hii dini ndo wengi basi walikuwa wakija hawakai nasi wanabki ktk magari yao jamaa anawapelekea wanakula humo na kurudisha vyombo na wengine wanachukua take away. Nawashauri pia kuwa wakija huku kwa wenzetu waangalie sana sausages manke nilifanya utafiti wa kutafuta beef sausages ilikuwa kazi kupata. ETI WATU HAWALI KITIMOTO HALAFU WANAKULA BINADAMU (KTK SHUGHULI ZENU ZILE MASA, SI UNAMLA MWEZIO DOWNSTAIRS?) teh teh teh
 
kwa kweli mimi ni muislam safi ...ingawa siyo very religious lakini hii kitu najuuta kuionja...yaani kwa kweli ndugu zangu waislamu msijaribu hata kidogo..kweli walisema 'haramu ni tamu' ..na niko na kampani yangu karibu wote ni watu wa swala..na huwa tunafunga kama kawaida....ila mpaka sasa sijaelewa imekuwaje..ni huzuni kubwa....
 
oooooooooops nilianza kuchanganyikiwa baada ya kumsoma Sisy Lucky lakini baada ya kuendelea kusoma zaidi nimepata faraja..
huyu kitu alivyo na radha ya kipekee ...
wapwa wanaweza kumtungia mashairi yaani hivi hivi
 
Aksante Leka kwa kunifunulia sikuwa na ufahamu huu kuwa ni agano la kale ndilo lililokataza na jipya linaruhusu. Uvivu hii wa kusoma bibilia -Shame on me!!

Sawa sasa nimeelewa kwa upande wa kikristo.

Swali langu sasa ni je ni kweli kuwa nguruwe na majini/maruhani havipatani? Kama ni kweli basi naomba ndugu zangu waislamu wanieleweshe zaidi hapa juu ya hili

nina swali kwa ndugu zangu waislamu (Tafadhali naomba msinielewe vibaya ) Nahitaji kuelimishwa juu ya hili.

Kitabu kitukufu cha dini ya kiislamu kinakataza wao kula huyu mkuu wa meza, kama havipatani na majini na maruhani hawaoni kama ni njia nzuri ya kufukuza majini ambayo yanawatesa wengi katika jamii zetu?-

Hilo agano la kale alileta nani na hilo jipya kaleta nani?
 
Wadau Habarini
Samahanini kama nitakuwa nimewakwaza but jana usiku nilikuwa nasikiliza mahubiri katika Radio moja, mhubiri alikuwa anaelezea vyakula ambavyo binadamu haturuhusiwi kule, mmoja wapo ni huyu mkuu wa meza bwana K/Moto. Nikakumbuka kuwa ni vitabu vyote vinakataza huyu mkuu asiliwe.

Lakini ghafla likanijia wazo hivi si wanasema (Sijui kina nani nasikiaga tu) kuwa huyu mkuu wa meza majini hayampendi kabisa na kuwa huwa anayakimbiza? Nikajiwa na wazo tu kwa nini tusiruhusiwe ili tujihami na majini? Au ndugu zetu wenye majini (nilishawahi kusikia kuwa wapo wenye majini mahaba, n.k wanapandisha yanadai sijui kiti wao alete nini na nini sijui) Kwa nini hawa watu wasiwe wanapewa mkuu wa meza kama tiba ya kuyaondosha badala ya kuyapunga tu yatulie?

Hebu nisaidieni wajameni!
Unataka kusema nini kwenye nyekundu? Sasa km ww ni muhusika mkuu na unahitaji ruhusa ya nani? Km unaamini yanaweza kukukinga? Mbele unajichanganya maana hueleweki ndugu zetu mara turuhusiwe. Hebu kuwa specific km unaamini unahoja iweke wazi huna sababu ya kuuma maneno vinginevyo utaendelea kulalama unataka jibu kumbe hujauliza swali. Hayo majini/maruhani yanaishi kwa watu waaina gani? Yanachagua kabila au dini? Wanayatoa wapi? Maana wasiokula kiti moto ni wengi na wenye majini ni watu tofauti pia.
 
Hii K/moto ilinichanganya sana ...next time andika kirefu kiti moto! wengine tafsiri zetu mbovu

Masanilo, mtoa mada kaeleza vizuri kuwa ni mkuu wa meza, kwani kako K husimama badala ya kitu gani? Nijuavyo mimi kuna majina mengi hata ya binadamu huanza na K mf. Kambarage, Kikwete, Kisarawe. Unatatizo gani na K?
 
kitimoto ukiwa umewahi kufika mbeya, ukinunua kilo moja, unawekewa na kipande cha parachichi, ndizi na mboga ya majani plus kachumbari, bureee! nasikia kilo moja sasa hivi kule Mbeya ni TSH 2600/=
 
Habari za hapa wadau. Ninatumaini wote mpo fresh na mnaendelea vyema na mapumziko ya weekend.

Nimekuwa nikisikia sana habari za kuwa mla nyama ya nguruwe(kitimoto) au mvuta bangi wanakuwaga hawalogeki hata kidogo.

Je, kuna ukweli wowote kuhusiana na hili jambo?
 
Bangi ni kilevi, ulevi ni mzizi wa dhambi meaning ni channel ambayo shetani anapitishia makombora yake. Wachawi na uchawi ni vitu vinavyotumiwa na wachawi.

Ambao hawarogeki na wale wanakumbatiwa na Mungu pekee yake. Ni wale walifunikwa na Damu Takatifu ya Yesu.
 
Ukiwa unakula chair fire ni kweli majini hawagusi kabisa, tena ukiwa unakunywa na supu yake hata wafuga majini watakuwa wanakugwaya.
Kuhusu bange sijui kwa sababu siyo muumini wa huo mmea..
 
Habari za hapa wadau. Ninatumaini wote mpo fresh na mnaendelea vyema na mapumziko ya weekend.

Nimekuwa nikisikia sana habari za kuwa mla nyama ya nguruwe(kitimoto) au mvuta bangi wanakuwaga hawalogeki hata kidogo.

Je, kuna ukweli wowote kuhusiana na hili jambo?

Kuloga ni nini?
 
Kasome biblia agano jipya, Yesu amemkuta mtu ana bonge na mapepo, yule mtu akalia sana, akamuuliza Yesu una nini nasi? kwanini unataka kutuua? akaomba twakuomba bas usitufanye kitu, turuhusu tuwaingie hao nguruwe, Yesu akauliza wewe pepo mchafu jina lako nani? yule mtu akajibu, tuko wengi sisi ni jeshi. Yesu akawaruhusu wakaenda na kuwaingia nguruwe. yule mtu akawa huru. sasa mimi sitaki kutoa ufafanuzi zaidi, mjumbe hauwawi, kila mtu sijui akisomaga apa ua anaelewaje, ila wewe kwa mujibu wa swali lako tafakari.....................................!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom