Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
Nalikubali ndo maana sikujiita KABOKA MCHIZI.....hivi mchungaji gani ana a.k.a km hii??? Au ndo nyani haoni naniiii......haaaahhahaaaaa
Darling nawe mezeaga vitu vingine bana..
Nalikubali ndo maana sikujiita KABOKA MCHIZI.....hivi mchungaji gani ana a.k.a km hii??? Au ndo nyani haoni naniiii......haaaahhahaaaaa
Hahahaaaa sawa honey.....Darling nawe mezeaga vitu vingine bana..
Halafu umeshakula kweli?Darling nawe mezeaga vitu vingine bana..
Halafu umeshakula kweli?
Karibu ujumuike hapa....
Nimeagiza ka nusu kuku ka kuchoma na ndizi mbiliUnakula nini? Maana mi sili kila kitu..
Nimeagiza ka nusu kuku ka kuchoma na ndizi mbili
Nimeagiza ka nusu kuku ka kuchoma na ndizi mbili
I love my name..
I hate my name!! Huwa najisikia aibu kumjibu mtu akiniuliza jina langu au nikitambulishwa., na huwa lazima niulizwe kwa nini niliitwa hivyo?! Hadi kaka zangu huwalipendi mpaka wakanipa jina la msanii mmoja wa zamani na limekuwa kama jina langu.Ila mwisho wa siku tumepewa majina kwa ajili ya kuitika ukiitwa?!
I hate my name!! Huwa najisikia aibu kumjibu mtu akiniuliza jina langu au nikitambulishwa., na huwa lazima niulizwe kwa nini niliitwa hivyo?! Hadi kaka zangu huwalipendi mpaka wakanipa jina la msanii mmoja wa zamani na limekuwa kama jina langu.Ila mwisho wa siku tumepewa majina kwa ajili ya kuitika ukiitwa?!