Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Kila anapozaliwa binadam ataitwa jina kama utambulisho wake. Hata Mwenyezi Mungu alipomaliza kazi ya kumuumba mwanaume alimpa jina la Adam na mwanamke akamwita Eva! Majuzi kuna muumini wangu alikuja ofisini akaniuliza: "Hivi father siwezi kubatizwa mara ya pili nikajiita jina ninalopenda?"..
Nikashtuka na kuhamaki kidogo!
...
...
Nilichogundua kuna watu wanachukia majina waliyopewa na wazazi wao, ndio maana wengi wanapromot zaidi majina yao waliyojibatiza ukubwani (a.k.a) na humu JF najua mpo wengi..
Nikashtuka na kuhamaki kidogo!
...
...
Nilichogundua kuna watu wanachukia majina waliyopewa na wazazi wao, ndio maana wengi wanapromot zaidi majina yao waliyojibatiza ukubwani (a.k.a) na humu JF najua mpo wengi..