ahahaaaa mkuu kweli?mchambawima,jambiani,chanjamjawiri,kibanda maiti,micheweni
ahahaaaa mkuu kweli?
Mchambawima,Jambiani,chanjamjawiri,kibanda maiti,micheweni
dar tuna KUNDUCHI
mfenesini, mfereji maringo ......
Wengi wanaoona ajabu majina ya Unguja, Kiswahili kwao ni lugha ya pili na si lugha mama.
Huwawahi kuwasikia Wakurya!Baraa au balaa