Mama
dada
shangazi
bibi
shosti upo wapi hii mijitu imeenda kuitana.
nimerudi mpenzi
majoka ya kibisa
:love::love::love::love::love::love: ngoja nishishie konyagi mwitu..!kibwengo
ngifi
sweetheart
tunda
kimeo
afadhali umerudi ila nimejitahidi kukomaa hivyo hivyo.
Hebu soma hizo pumba za acid.
halafu nyie shosti na husninyo nyie... endeleeni tu, nie najua kabisa huwa mnaitwa buffet lakini sisemi, ati watu wanapanga foleni kupakua
sawa tu
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?
Mfano:
1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI
Kama unayajua mengine unaweza ongezea
halafu wewe... tena uko lile kundi la pili na zawadi nakuongezea kabisaa... unajua nilitaka nikuite pimbi, lakini nikaona sio fresh bora niheshimu tu lile jina lako la utotoni la chanjilaafadhali umerudi ila nimejitahidi kukomaa hivyo hivyo.
Hebu soma hizo pumba za acid.
sawa kipilipili nimekubalibabuuuu,ukipewa kubwa umumunye
umeanza... ntakua sikupendi tenayeye mwenyewe anataakiwa apewe zawadi ya nanihiiii
Na jamvi la wageni je imesahaiulika?
umeanza... ntakua sikupendi tena
halafu wewe... tena uko lile kundi la pili na zawadi nakuongezea kabisaa... unajua nilitaka nikuite pimbi, lakini nikaona sio fresh bora niheshimu tu lile jina lako la utotoni la chanjila