majina ya wasichana

ambili

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
243
15
Hivi ni kwa nini wasichana wanapewa majina tofauti na wavulana?

Mfano:

1. DEMU
2. MLUPO
3. SHORI
4. KISHTOBE
5. MANZI
6. SISTA DUU
7. SKETI

Kama unayajua mengine unaweza ongezea
 
Ya wanaume.
Kenge
mamba
jibwa
poyoyo
mbwiga
buzi
kidumu
..... Nitaendelea b'dae.
 
Back
Top Bottom