St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,639
- 4,527
Na nilishasikia wengine wanaitwa majambazi ya hiari.
jokaefu
we si ulisema huchangii unaogopa kuachwa au nimekufananisha.
kimbilimbi....mkaka mkubwa ana kidude cha mtoto mchanga
Kinokia
shaibu= babu lililozeeka.
vikoroboi.
Mamsap
first lady
(chuda)
mchuchu
(desi)
mtoto
(jiko)
wanawake wa JF kiboko... yaani mada mmeiteka basi tena... haya mmeshinda, zawadi ni kama ifuatavyowamekimbia wanaleta sanaa kwenye jumba la sanaa
pipa = mwenye kifanywa kikubwa.
Dah umeua!wanawake wa JF kiboko... yaani mada mmeiteka basi tena... haya mmeshinda, zawadi ni kama ifuatavyo
vicheche na vimondo wote nawapa chupa ya komoni
vibwengo, vichupi, ving'asti na fangas kaeni kulia zawadi ntawaletea
vishosti, vitobo, mbung'o, bata na saccos - pateni bia mojamoja
akina matonya, invoice, viduku, chinese na nyama - subirini mwakani
sumu, vipapa, vimeo, short-time, vodafasta na tigo rusha - nyie siwapi kitu mmezoea
mwanamkasi, chungu, kware, milupo na lunyamila - pangeni foleni kwa asha ngedere
kama jina lako halipo ni-PM ntakupangia cha kufanya
hii imeniacha hoi Kicheche lo bab kubwa ama kweli unajua vicheche huwa wajanja sana na wakiona hatari hukimbilia shimoni.8. Kicheche