Page iko slow sana let's wait
mbona viboxi vingi naomba unieleweshe vizuri afu wanasema ni type the code below
mpaka wakati huu kuna yeyote kati yenu amefanikiwa kuona result yake ya mkopo??
jaman mm imefunguka bt majibu yalioniletea hata sijui au ndo nimekosa jaman et inasema THIS FORM 4INDEX NUMBER Z NOT SECURE FOR LOAN APPLICATION 2O13-2014 Daah au mbna sielew yaan
Yan imenijibu ivyo ivyo....hapa nilipo sijielewe msaada kwa mwenye kuelewa jamani