Majina ya walioomba nafasi za BVR cleck

Gtshayo

New Member
Mar 19, 2014
1
0
Jaman nasikia tume ya uchaguzi wametoa majina ya BVR clerk so wameyaweka wap maaana wametangaza bt watu hawajui wanayapata wap so mwenye nayo plz tunayaomba
 
Matangazo ya ajira yalitoka lin na yakatangazwa kwenye chombo gani cha habari cha hapa nchini kwetu?
 
Hzo kaz zimeltwa kwnye halmashaur yet huk kigoma pia ni lazma uwe any goverment officer wth computer skills,i wsh to apply for it by 2mor
 
Ndugu zanguni hii kazi ni ngumu sana kama una matatizo ya kiafya kama kifua,mgongo,kiuno nk achana na hii kitu ni mziki mnene saaaaana huku kusini kuna Dada nusura mimba ichomoke nkafanya sub faster.
 
Ndugu zanguni hii kazi ni ngumu sana kama una matatizo ya kiafya kama kifua,mgongo,kiuno nk achana na hii kitu ni mziki mnene saaaaana huku kusini kuna Dada nusura mimba ichomoke nkafanya sub faster.

uongo tu. Haina ugumu wowote
 
Back
Top Bottom