kweli jamani tujuzane...vp ilala washatoa majina walio fanya usail DIT..mwenye kujua ani text plz 0716512719
Ndugu zanguni hii kazi ni ngumu sana kama una matatizo ya kiafya kama kifua,mgongo,kiuno nk achana na hii kitu ni mziki mnene saaaaana huku kusini kuna Dada nusura mimba ichomoke nkafanya sub faster.
Hii kazi.mpk tarehe 10 dar