Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Kwa wale wanaotaka kufuatilia tafadhali fuata link hii:
Ministry of Education and Vocational Training:::::
Ministry of Education and Vocational Training:::::
Mkuu Invisible shukrani, kweli tumetoka mbali, enzi zetu ukisikia majina ya waliochaguliwa yametangazwa, ilikuwa mbinde mpaka kuyaona. Siku hizi kuanzia majibu mpaka shule walizopangiwa ukiwa na mtandao bwerere.
Huyo dogo wa bush mlete town wakati wa likizo asome tuition....kuja mjini kuosha macho muhimu....Shukrani Invisible.
Yeah naona kwa kweli hapa wizara imejitahidi sana! search engine iko user friendly. CONGRATULATIONS kwa wahusika (you see, wakifanya vizuri tunawapa credit ;-) siyo kwamba tunalaumu tuu.
Anyway, nimecheki matokeo naona jamaa zangu village hawajatoka..duh! Dogo mmoja katoka lakini kapangiwa shule iliyo kama KM 5 kutoka pale alipokuwa...(yaani village zaidi)..sasa sijui kijana atakuja lini mjini...maana wengi tulikuja Dar, Arusha nk... kwa ticket ya shule..anyway..sasa inabidi aisikilizie Chuo Kikuu..ila sasa so, ni pale atakapopangiwa chuo cha ualimu next wilaya...sijui itakuwaje..au apelekwe universiti ya Shinyanga-lol! Dar mpaka uzeeni akija kudai mafao kama yatakuwepo...
All in all, ngoja nianze kujiandaa kutuma karo vijana watafute plan B!
uko dunia ipi?Kubandika majina ya wanafunzi ukutani, tovutini, mtini, ubaoni, ni violation of student privacy.
Badala ya Toyota Land Cruiser VX, ikinunuliwa Toyota Camry XLE moja kwa matumizi ya wizara iliyoko mjini, hela zitakazo okolewa zitanunua stempu ya kumtumia kila mwanafunzi wa Tanzania notice ya matokeo yake. Watahiniwa wote wa Tanzania kuanzia kidato cha nne mpaka vyuo vikuu.
uko dunia ipi?
na utandawazi huu au unaleta ligi tu mkuu?
Kubandika majina ya wanafunzi ukutani, tovutini, mtini, ubaoni, ni violation of student privacy.
Badala ya Toyota Land Cruiser VX, ikinunuliwa Toyota Camry XLE moja kwa matumizi ya wizara iliyoko mjini, hela zitakazo okolewa zitanunua stempu ya kumtumia kila mwanafunzi wa Tanzania notice ya matokeo yake. Watahiniwa wote wa Tanzania kuanzia kidato cha nne mpaka vyuo vikuu.
Mzee Kuhani hizi ni enzi zingine. Hakuna privacy tena katika enzi hizi... Ndio ulimwengu wa leo si ule wetu mkulu wangu
Kwa wale wanaotaka kufuatilia tafadhali fuata link hii:
Ministry of Education and Vocational Training:::::
Ulimwengu wetu ule ndio majina yanabandikwa ukutani. Ulimwengu wa leo unatambua kwamba Jimmy K has no business kufuatilia matokeo ya Kuhani. Hivyo, kinachotakiwa kufanywa, ni mtahiniwa ku log into the site ya baraza la mitihani kutumia Candidate ID. No. na credentials zingine za siri, kuona matokeo. Matokeo yako wewe!