Wakuu ninaomba kama kuna member alifanikiwa ku-save ile orodha ya mgawo wa Viwanja Gezaulole atubandikie hapa. Nimepita website ya Municipal naona wameshaiondoa maana mgawo wenyewe ulikuwa ni wa kujiuliza maswali!!!
Watayatoa tu tuendelee kusubiri inasemekana wamechelewa kidogo kwasababu viongozi wengi wapo Bungeni maana inatakiwa wachague viwanja wavitakavyo baada ya hapo sasa vigawiwe kama vitabaki.
he he he he he he he hii noma ss viongozi wasipojipa viwanja wapewe nani??hii ndo inchi yetu bana kila kitu lazima kwanza familia za viongozi wajigawie zeni masalia ndo yanabaki kwa wanainchi
Halafu naomba kuuliza ina maana asilimia kubwa ya majina ya walioomba ni dhehebu aina moja? au macho yangu
Pili kama kuna mkakati wa kujenga mji mpya nadhani priority wangepewa wakazi wa huko Kigamboni achana na Mheshimiwa no 218.
Asante sana mkuu. Ila naona watu wanasema hii ni orodha ya awamu ile ya kwanza. Kuna rafiki yangu amewasiliana na mtu wa huko ardhi Temeke na wanasema bado. Ila tu nitashaangaa kama hawa viongozi walipewa vile vya awamu ya kwanza na sasa wapewe tena. Huo nitasema ni uroho na ubinafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.