Majina ya Vijiji vya Wilaya ya Masasi ni 'Kiboko yao'

Lukuledi bado wanauza mabumunda??

Mkuu Mabumunda yalikuwa mambo ya weupe (wazungu) walipokuwa wakiendesha misinari nyingi wakati ule. Mambo mengi yamebadilika. Hakuna wheat, maziwa ya unga, ile mitumba mikali kama enzi zile. Sasa misionari nyingi zinaendeshwa na wazawa.
 
Vingi ya hivi navifahamu, niliwahi kuishi Chigugu kwa muda wa kama wiki mbili na pia pale Ndanda kwa wamisionari. Kwa kweli Masasi ni kuzuri na watu wa kule ni wakarimu, natamani kurudi tena.....

Karibu Mkuu! Karibu tena Masasi! Karibu saaaana! Bwana weweee.
 
Mkuu Mabumunda yalikuwa mambo ya weupe (wazungu) walipokuwa wakiendesha misinari nyingi wakati ule. Mambo mengi yamebadilika. Hakuna wheat, maziwa ya unga, ile mitumba mikali kama enzi zile. Sasa misionari nyingi zinaendeshwa na wazawa.

daah! Kweli mambo yamebadilika nilikuwa huko utotoni ful mabumunda na koroshi, baaaa!
 
Mbona hamjauliza kuhusu aina ya Vyakula na Vinywaji ambavyo vinapatikana au ni maarufu Masasi? Mfano Chakula kama Matamba, Makondowole,Upupu Viazi vikuu, Chamaki mchanga nk. Vinyaji kama Nipa, Ulaka, Tembo nk. Ulizeni jameni Bah!
 
Mbona hamjauliza kuhusu aina ya Vyakula na Vinywaji ambavyo vinapatikana au ni maarufu Masasi? Mfano Chakula kama Matamba, Makondowole,Upupu Viazi vikuu, Chamaki mchanga nk. Vinyaji kama Nipa, Ulaka, Tembo nk. Ulizeni jameni Bah!

Mimi sijawahi kufika huko, lakini nasikia kuna kijiji kinaitwa Namtumbo na kingine Nanguruwe ni kweli vipo?
 
Daah r.i.p soo sad sasa kama dr.mwambe hayupo ndanda hospital sasa kabaki dr gani tena bingwa daah watu muhimu wanakufa zinabaki pumba tu sasa duniani daah
dkt. Mwambe ameshafariki miaka yapata mitatu au zaidi. R.i.p alikuwa ni zaidi ya daktari huyu bwana. Alikuwa ni mtu wa watu.
 
duu umenikumbusha mbaliii!!!
nimekaa masasi kama miezi miwili mwaka jana nikatembelea hadi nachingwea na ile wilaya mpya inaongozwa na kadada flani hivi...ila umeme kila saa unakatika vipi sikuhizi wamerekebisha?
 
duu umenikumbusha mbaliii!!!
nimekaa masasi kama miezi miwili mwaka jana nikatembelea hadi nachingwea na ile wilaya mpya inaongozwa na kadada flani hivi...ila umeme kila saa unakatika vipi sikuhizi wamerekebisha?

Wilaya mpya ni Nanyumbu, ambayo imegaiwa kutoka wilaya ya Masasi Mkuu. Au itakuwa ulifika wilaya ya Ruangwa nayo ni Mpya. Umeme kwa mikoa ya kusini ni anasa na si huduma muhimu. Japo gesi tunayo pale Mnazi Bay!
 
Mimi sijawahi kufika huko, lakini nasikia kuna kijiji kinaitwa Namtumbo na kingine Nanguruwe ni kweli vipo?

Nanguruwe na ilikuwepo Nambwa ila vimebadilishwa majina baada ya Rais fulani mstaafu kuvitembelea miaka ya nyuma na taarifa ya habari (RTD wakati huo) ilisikika "Rais akiwa wilayani Newala atalala Nanguruwe na atakula chakula cha mchana Nambwa" ikawa mwisho wa majina hayo. Vijiji vipo ktk wilaya ya newala mkoa wa Mtwara. Ilikuwa dhahma si haba.
 
Nanguruwe na ilikuwepo Nambwa ila vimebadilishwa majina baada ya Rais fulani mstaafu kuvitembelea miaka ya nyuma na taarifa ya habari (RTD wakati huo) ilisikika "Rais akiwa wilayani Newala atalala Nanguruwe na atakula chakula cha mchana Nambwa" ikawa mwisho wa majina hayo. Vijiji vipo ktk wilaya ya newala mkoa wa Mtwara. Ilikuwa dhahma si haba.
Ahahaaah! Nasikia pia hukohuko Newala kuna kijiji kinaitwa Nakapanya!
 
Ahahaaah! Nasikia pia hukohuko Newala kuna kijiji kinaitwa Nakapanya!

Nikweli hicho kijiji kipo ila si Newala. Nakapanya kipo ktk wilaya mpya ya Nanyumbu mkoani Mtwara ni karibu na mpaka wa wilaya ya Tunduru mkoa wa Ruvuma.
 
Nanguruwe na ilikuwepo Nambwa ila vimebadilishwa majina baada ya Rais fulani mstaafu kuvitembelea miaka ya nyuma na taarifa ya habari (RTD wakati huo) ilisikika "Rais akiwa wilayani Newala atalala Nanguruwe na atakula chakula cha mchana Nambwa" ikawa mwisho wa majina hayo. Vijiji vipo ktk wilaya ya newala mkoa wa Mtwara. Ilikuwa dhahma si haba.

Nanguruwe ipo wilaya ya Mtwara rural.
 
Nakumbuka Ndada iliwahi kutua NDEGE kutoka Ujerumani (Ambulance) kumchukua Shemeji yake Dr. Mwambe. Shemeji huyo alikuwa mjerumani Mwl. THOMAS. Nani anakumbuka zaidi?
 
Nikweli hicho kijiji kipo ila si Newala. Nakapanya kipo ktk wilaya mpya ya Nanyumbu mkoani Mtwara ni karibu na mpaka wa wilaya ya Tunduru mkoa wa Ruvuma.
mwendabure nakapanya ipo kule tunduru ila karibu na mpakani na nanyumbu ila kuna kijiji kinaitwa nachura masasi au nanyumbu.....pia nilisikia siku moja redioni waziri mkuu ataongozana na ndugu komba,simba na mapunda kwenda nanguruwe kula chakula cha mchana kisha atalala nachura chai ya asubuhi atakunywa naumbwa!
 
Dkt. Mwambe ameshafariki miaka yapata mitatu au zaidi. R.I.P Alikuwa ni zaidi ya daktari huyu Bwana. Alikuwa ni mtu wa watu.

Duu! jamaa alikuwa noma sana, alikua anauchambua mwili wa binadamu kama karaanga!! lakini nasikia kuwa kuna mtoto wake mmoja alikua nje kusoma na anafuata nyayo za baba yake, na mmoja yupo kwenye jopo la damu salama kanda ya kusini!!
 
Wilaya mpya ni Nanyumbu, ambayo imegaiwa kutoka wilaya ya Masasi Mkuu. Au itakuwa ulifika wilaya ya Ruangwa nayo ni Mpya. Umeme kwa mikoa ya kusini ni anasa na si huduma muhimu. Japo gesi tunayo pale Mnazi Bay!

Ruangwa nimefika,kuna kijiji kinaitwa MATAMBARALE,Likunja,SUPU YA KULE NI NGOZI YA NG'OMBE,aaah tembea uyaone
 
Mbona hamjauliza kuhusu aina ya Vyakula na Vinywaji ambavyo vinapatikana au ni maarufu Masasi? Mfano Chakula kama Matamba, Makondowole,----- Viazi vikuu, Chamaki mchanga nk. Vinyaji kama Nipa, Ulaka, Tembo nk. Ulizeni jameni Bah!

Ruangwa niliikuta Mihogo pori
 
Lupaso, Lukuledi, Lulindi, Luchelewa, Lukwika, Luatala, Lusonje. Chiungutwa, Chikundi, Chikukwe, Chilimba, Chiroro, Chipango, Chipembe, Chiwata(ilipo Chidya Sec. Sch.). Chiwale, Chivirikiti. Mkolopola, Mkarango, Mpeta, Mkumbaru, Mkwapa. Nanjota, Nanganga, Nangoo, Namajani, Nakalola. Nanjisa, Nangaramo, Nakachindu, Namikunda, Nairombo, Navai, Nangose... KARIBUNI WAKUU!!

Nanganga haipo Lindi????
 
Back
Top Bottom