Yudasti
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 928
- 1,279
Jamani wataalamu wa miji yetu ya Tanzania, nimetembelea Kagera aisee nimeshangazwa sana na majina ya asili huko mfano:
1. Bukuma yaani asili ya watu wa hapo ni wakuma
2. Mto Ngono
Hivi hapa wataalamu ni majina halali au vipi maana wenyeji huko ni kitu cha kawaida sana.
Mbona sisikii hata kwenye media majina haya au asili ya watu hawa wakitajwa?? Msaada wa hapa tafadhali
1. Bukuma yaani asili ya watu wa hapo ni wakuma
2. Mto Ngono
Hivi hapa wataalamu ni majina halali au vipi maana wenyeji huko ni kitu cha kawaida sana.
Mbona sisikii hata kwenye media majina haya au asili ya watu hawa wakitajwa?? Msaada wa hapa tafadhali